Matukutuku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 269
- 126
- Thread starter
- #161
Ndio hvyo mkuu kilichonitokea, nilikuwa natumia GBWhatsappUtakuwa unatumia third part whatsapp app kama yowhatsapp, gbwhatsapp uwa wakigundua wanaila namba ban
Ndio hvyo mkuu kilichonitokea, nilikuwa natumia GBWhatsappUtakuwa unatumia third part whatsapp app kama yowhatsapp, gbwhatsapp uwa wakigundua wanaila namba ban
Shida ndio hiyo mkuuu! Una bahati sema hawajakugundua tu, siku wakigundua simu yako inatumia GBWhatsapp basi ni unakula ban bila ubishi.sidhan kama ni gbwhats....
mimi nina gbwhats na yowhats na hii whats ya kawaida zaid ya miaka miwili na hakuna shda.....line zangu zote 3 zina wosap ktk sim moja ya line 1
Hilo sio tatizo kabisa mimi ninazo 3Mi sio msumbufu kabisa kaka, nahisi itakuwa ni GBWhatsapp niliyokuwa nayo, kama kuna mtu anahizo whatsapp 2 basi aondoe moja wapo la sihyo tegemea ban muda si mrefu.
basi we kitukuu cha mtume, mi naendelea na Ban leo nimemaliza miezi miwili .................................Hilo sio tatizo kabisa mimi ninazo 3
(BwhatsApp,GBwhatsApp na WhatsApp) na sipati tatizo lolote mwaka wa 2 sasa
Daah kifungo kilikuwa kirefu hatimaye kimeisha leo ...basi we kitukuu cha mtume, mi naendelea na Ban leo nimemaliza miezi miwili .................................
Ninaamini watafanya hili. Maana vinginevyo 'tutaoumia ni sisi mashabiki'Bora wapate ufumbuzi mapema tu hao waarab wa Yo
Ninaamini watafanya hili. Maana vinginevyo 'tutaoumia ni sisi mashabiki'
Sent using Jamii Forums mobile app
Inapokuwa Modified App si ni kuwa inafanya kazi kupitia Platform ya whatsapp? Au mimi naelewa tofauti?ha ha ha ha ha
ujue Haziwezi kufungiwa wala haziwezi kupotea maana whatsapp na hizi zingine hata haziendani ni vitu viwili tofauti
BUt kuna fm whatsapp ndio funika yaani hatari mnoo ina nyongeza kibao yaani
ha ha ha ha ha
ujue Haziwezi kufungiwa wala haziwezi kupotea maana whatsapp na hizi zingine hata haziendani ni vitu viwili tofauti
BUt kuna fm whatsapp ndio funika yaani hatari mnoo ina nyongeza kibao yaani
Kuna website nimeona wanasema watu wameanza kuwa banned. Ila mimi binafsi sijapata dhahma hiyo. Au sisi wa shinabulandi tunasamehewa?Ban itaanza kutolewa kini
ha ha ha ha ha
ujue Haziwezi kufungiwa wala haziwezi kupotea maana whatsapp na hizi zingine hata haziendani ni vitu viwili tofauti
BUt kuna fm whatsapp ndio funika yaani hatari mnoo ina nyongeza kibao yaani