mkuu Unajua kwanini omg ilivunjika?Uzuri Young lunya katolewa na makini,sema makini wa zamani ila wa sasa anazingua
Ndio maana mi staki demu/Namkubali Sana YOUNG LUNYA anapokua na MABANTU.
Kuna remix Mona anaimba,
"Ndi Mana Ni staki Dem...."
Unaitwaje huu mkono!?It took me allota time,kutafuta inspiration/
i'm chill outta town,nikifanya meditation/
nikiwaza situation,whats goin right now/
it 4am na watoto probably sleep now/
back in days when i was young i am not a kid anymore/
sasa hivi nimeshakuwa broo/i gotta be careful/
conboi or cannabino.
Conboi-above average 100 barsUnaitwaje huu mkono!?
Mkuu Kwani Young D alishawahi kufanya Hiphop ?Si huyu anaye kula unga au kuna mwengine?
anabadilika mara hip pop mara trap
afu trap yenyewe haiwezi
labda nikuulize unamjua conboi.
Na pia hzo wanazoziita freestyle sio.freestyle bali ni verse zilizoandikwa wanatuzingua ohhh freestyle,freestyle gani dakika 3😁Hao mayoung wote wako inspired na Young D...mambo aliyoyafanya D kweny game hao watoto bado hawajafanya...
#young Daresalama...
Shida ya watoto mmeanza kuskiza mziki juzi...Ndiomana D ana hits kibao lakin hao watoto wanaishia kufrestyle tu...
Haha kwel mzeeNa pia hzo wanazoziita freestyle sio.freestyle bali ni verse zilizoandikwa wanatuzingua ohhh freestyle,freestyle gani dakika 3