mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Mwakalebela na kundi lao miezi mitatu iliopita walituambia tunaenda "CAS" kuhakikisha kuwa Morrison anarudishwa yanga.Chaajabu Leo wamerudi Tff tena.
Hivi Leo mwakalebela amesahau njia ya kwenda CAS?
Hivi amesahau shutuma za msola na Bumbuli kuwa Tff imejaa wanasimba tuu?
Hivi Leo mwakalebela amesahau njia ya kwenda CAS?
Hivi amesahau shutuma za msola na Bumbuli kuwa Tff imejaa wanasimba tuu?