netein
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 281
- 479
Yasin anajituma ila ana makosa mengi, na ndiyo maana timu ya taifa hawampang, siyo mpiga cross mzuri, angalia toka ligi ianze ana assist ngapi! hata Mukoko na yeye siku za karibun naona kama kiwango hakipo sawa, nahisi kashapata Malaya bongo.Yassin anajituma sana yule kijana
Mimi ni simba lakini yassin na mukoko ndio wachezaji wako nje ya hapo huna timu