Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.

Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Hakuna anayefadhahika... Huyo Simba tunamchapa Taifa na wanatuogopa. Mimi nawaambia wamalize mzinguko wa kwanza then ndio waje tuongee
 
Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.

Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Yangaaaaaa.....
 
Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.

Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Hakika. Na huwa inanifurahisha vile namna tunajua kulitafuta goli yaani tulipambania mpaka tukakomboa wakati wangekuwa wao ndo ingeshatoka pale.

"DaimaMbeleNyumaMwiko"
 

Similar Discussions

97 Reactions
Reply
Back
Top Bottom