MWESONGO RAMADHAN
Member
- Jul 24, 2019
- 46
- 46
Heri ya mwaka mpya vyura wote. Ila leo mmepiga mbizi topeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri ya mwaka mpya washirikina!Mkuu tukio lipi la ushirikina ilikuaje?
Kalikuwa majeruhi ila kwa sasa kameanza kujiweka sawa kabla ya kurudi uwanjani
Ha ha ha ha
hahahaaKakiwa fit huwa kanapiga kiungo hatari sana! Naona kamepewa masharti ya kuongeza kifua kidogo siyo kanapitiwa na upepo wa Mzee wa Mnyero FC kanaanguka!
Hakuna anayefadhahika... Huyo Simba tunamchapa Taifa na wanatuogopa. Mimi nawaambia wamalize mzinguko wa kwanza then ndio waje tuongeeTusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.
Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Ukiona yanga anaongoza ligi jua Simba hajachezaUkumbuke tu kuwa hiyo michezo yako mitatu ni dhidi ya Namungo, Azam na Dodoma jiji ambao tayari Yanga wameshamalizana nao raundi ya kwanza.
Yangaaaaaa.....Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.
Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Ukiona yanga anaongoza ligi jua Simba hajacheza
Naona mmegundua mda wenu wa kukaa pale juu umeisha, sasa mnaanza kuondoka tararatibu.Alipokojolewa na Wajelajela na Ruvu sijui ulisemaje
Kuondoka kwenda wapi, acha mbwembwe.Naona mmegundua mda wenu wa kukaa pale juu umeisha, sasa mnaanza kuondoka tararatibu.
Hahahaaaa. Mtani Mlijua yaliyowapata ndo yatatupata. Doooh!!Kila la kheri kwa Wajelajela.
Moja halitoshi kufungia mwaka.
Ooh!! Haya endelea kubanana nayo mpaka mwisho. Teh.Mambo flani yamebana ila nitarudi tu kama zamani Shadeeya. 👊
Rumande mlilazwa nyie na sio sie.Bahati yenu leo chupu chupu mlazwe Rumande.
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Mvua ndo ilisababisha mana si kwa mimaji ile.Naona tayari washakaa 😝😝
Hapa ndo wananichoshaga hawa watu.Unahesabu mechi hujaicheza?
Hahahaaaa. Lol.Wewe umejuaje Ki tendo alichofanya kaseke alikua anasaka ushirikina?
Nikikwambia alikua anatafuta msumari utapinga?
Wewe ni mchawi Kama wachawi wengine.
Hahahaaaa. Mtani Mlijua yaliyowapata ndo yatatupata. Doooh!!
Washukuru tu ile mvua ambayo iliharibu uwanja ukajaa na mimaji la sivyo walikuwa hawatoki.
Hakika. Na huwa inanifurahisha vile namna tunajua kulitafuta goli yaani tulipambania mpaka tukakomboa wakati wangekuwa wao ndo ingeshatoka pale.Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.
Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Hahahaaaa!! Kikosi kilichoanza Ligi huwezi kifananisha na hiki cha sasa hata kidogo.Taifa walitoka bila mvua kujaa maji.
Mtani ukishaamka usingizini uniambie. 💃💃💃💃hizo point Ni suala la muda tu