Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Leo nimeshangaa sana Kaseke na mwenzake kwenda goli la mpinzani kuanza kutikisa nyavu kama wanatafuta kitu hivi kwa chini,baadaye wakaenda hadi kwenye taulo la golikipa na kulikung'uta!Nilipigwa na butwaa kuona hivyo!Wakati huo Matokeo yakiwa Prison 1-0 Yanga na Yanga walikuwa wakishambulia sana!

Hii tabia si nzuri hasa kwa timu inayoshiriki ligi kuu na Club kubwa kama Yanga!Mnatia aibu kwakweli na hii sio mara ya kwanza ninyi kufanya hivyo!

Prison mnalingana nguvu maana kwenye mechi ya kwanza mlitoka sare tena kwenu!Sasa mnachoshangaa ni nini wao kuongoza kwa goli moja na ninyi mkiwa mnakosakosa?

Aibu kwenye michezo,mechi zinaonekana mpaka nje ya nchi halafu mnafanya ujinga!Shwain kabisa!



Siku nyingine mkagoma kuingilia lango la kuingia uwanjani,ninyi watu gani?Mbona mnaupa sana promo ushirikina?



Nawatakia kheri ya mwaka mpya!
Unateseka ukiwa wapi ?
 
Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.

Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
 
Aisee
Screenshot_20201231-204201.jpg
 
Basi sawa,alipoukosa huo msumari akaenda kuutafuta kwenye taulo la golikipa kwa kulikung'uta kama anataka kuona nini kitaanguka!
Ushamba huo!
Kwahiyo kukung'uta taulo ni ushamba...

Kwanini unateseka kwa Pilipili usiyoila?

Do ur part in ur mikia fc team then it can be done sawa wazee wa "sisi tutakua mabingwa mara 4 mfululizo".
 
Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.

Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Mhhh! Utopolo buannna
 
Kwahiyo kukung'uta taulo ni ushamba...

Kwanini unateseka kwa Pilipili usiyoila?

Do ur part in ur mikia fc team then it can be done sawa wazee wa "sisi tutakua mabingwa mara 4 mfululizo".
Ninyi bora muendelee kubaki hapa hapa nchini maana mkienda kimataifa mtaenda kuitia aibu nchi!
 
Tusifadhaike,hii sare ya Leo imeonyesha ni namna gani Yanga hii iko imara. Timu imeimarika sanaaa!! Ina ari ya juu sanaaaa. Simba bila kubebwa kama walivyosaidiwa dhidi ya KMC hata sasa wasingekuwa na uwezo Wa kufunua midomo yao.

Naamini kwa ubora Wa hii timu tunakwenda kutwaa ubingwa msimu huu!
Kwani yanga dhidi ya kmc haikubebwa? Penati fake mlipewa. Dhidi ya gwambina mlipigwa goli halali likakataliwa, dhidi ya simba faulo nje 18 mkapewa penati. Ni kujidanganya kuwa mechi zote yanga imeshinda au kudraw kwa haki.

Ubingwa labda muibe kombe.
 
Leo nimeshangaa sana Kaseke na mwenzake kwenda goli la mpinzani kuanza kutikisa nyavu kama wanatafuta kitu hivi kwa chini,baadaye wakaenda hadi kwenye taulo la golikipa na kulikung'uta!Nilipigwa na butwaa kuona hivyo!Wakati huo Matokeo yakiwa Prison 1-0 Yanga na Yanga walikuwa wakishambulia sana!

Hii tabia si nzuri hasa kwa timu inayoshiriki ligi kuu na Club kubwa kama Yanga!Mnatia aibu kwakweli na hii sio mara ya kwanza ninyi kufanya hivyo!

Prison mnalingana nguvu maana kwenye mechi ya kwanza mlitoka sare tena kwenu!Sasa mnachoshangaa ni nini wao kuongoza kwa goli moja na ninyi mkiwa mnakosakosa?

Aibu kwenye michezo,mechi zinaonekana mpaka nje ya nchi halafu mnafanya ujinga!Shwain kabisa!



Siku nyingine mkagoma kuingilia lango la kuingia uwanjani,ninyi watu gani?Mbona mnaupa sana promo ushirikina?



Nawatakia kheri ya mwaka mpya!
Unateseka ukiwa maeneo gani?
 
Back
Top Bottom