kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Kwenu alikuwa nani?Anaenda kuwa na cheo gani huyu pale yanga??
Kwenu alikuwa nani?Anaenda kuwa na cheo gani huyu pale yanga??
Haya ni maneno ya nani!?na hapa ni clubView attachment 1532451
We unaona nani hapo??Haya ni maneno ya nani!?
Swahiba nguvu imerudi,j3 toka viunga vya tff ndio utafurahi zaidi iwapo haki itatendekaNaachaje kwa mfano. 😂😂😂
Tunaenda kwenye mabadiliko ya kisawa sawa,senzo ana vigezo vyote vya kutupeleka kwenye mabadiliko na ndio maana tumemchukua kufuata maelekezo ya la liga CEO wa aina gani tuwe naeNi zamu ya mioyo yao kufyatuka sasa. 😀😀
Yanga inapoelekea iwapo mchakato wao utafanikiwa basi utakua mfano wa kuigwa,nyie mtaendelea na ahadi ya mabadiliko ya b 20 while wenzenu watawekeza zaidi ya b 70,na iko ndicho mo hataki hata kukisikia na anatumia kila ila kugombanisha wanachama na gsm ili gsm asuse,safari hii asusi mtu hadi kielewekeKuna vitu vingi simba vipo ndo maana senzo alionekana wa maana.
Maana mfumo ulikuwa unambeba.
Hapo yanga bado wenyewe wana mfumo wa kuchagua mwenyekiti wao kwa kura ni wazi msola atabaki kuwa ndie mwenye maamuzi.
Msola hawezi kuwa chini ya senzo na senzo hawezi kukubali kuwa chini ya msola...
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
So senzo alikua rais pale mkiani 😀,hlf kaduguda atakua nani 😀Makosa walio ya fanya GSM ni wazi wanatafuta njia za kujisafisha.
UNAKWENDA KUSAJILI MWENYEKITI?.
wakati unae mwenyekiti aliyechaguliwa kwa kura Za wananchi?
Ndo maana nasema yanga WAMEKURUPUKA..
Tuseme ukweli GSM wamechemka.
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Respect mkuu kwa kuongea fact, ukweli utatuweka huru.. Ndugu zako wengine maneno mengi ila huu ndio uhalisia, sisemi tu kwa kua amekuja Yanga hata angeenda sehemu nyingine bado huu ungebaki kua uhalisia..Yanga hongereni sana Watani wangu,
Hakika mmefanya jambo kubwa sana kumchukua Senzo,, hili ni pigo kubwa sana kwetu,, mmetufunga mdomo na kiukweli tumepoa,,
japo kuna baadhi ya watu watanipinga ila kiukweli mmetuvuruga vchwa vinawaka moto,, nabaki na maswali mengi sana,, nn kimepelekea hiki? kama kudai bonus kwa Senzo ni dhambi! nn sasa motisha yake?
Mpeni nafasi Senzo hakika mtafaidika sana,, ni mtu mwenye CV kubwa Africa kulingana na Uweledi wake.
naskia pia mnamnyakua Chama, dah,
'Jamani kupenda mpira sana ni hatari kwa afya yako'
nlivoona tu Mwina Kaduguda amewekwa simba nikapata hofu sana dah!
sina hamu na ushabiki huu ni uzwazwa jaman,
Saizi tuna flash ya mikataba ya wachezaji wote wa Simba,kesho kukuche haraka tu😂😂Hahahaaa. Kachoka Umbumbumbu.
Nipo naflsh nasoma mikataba ya wachezaji hapa nimwendo wa kunyonya tu kwenye laptop ya senzoSo senzo alikua rais pale mkiani 😀,hlf kaduguda atakua nani 😀
Hahahahahahahahah Wazee wa kukimbilia MataputapuShadeeya wameanzisha ugomvi wa mawe wakati wanaishi nyumba ya vioo.....tunamafaili ya timu nzima hadi mshahara wa Hajji........tumeanza na huyu😂😂View attachment 1532628
Tunaenda kwenye mabadiliko ya kisawa sawa,senzo ana vigezo vyote vya kutupeleka kwenye mabadiliko na ndio maana tumemchukua kufuata maelekezo ya la liga CEO wa aina gani tuwe nae
Yanga inapoelekea iwapo mchakato wao utafanikiwa basi utakua mfano wa kuigwa,nyie mtaendelea na ahadi ya mabadiliko ya b 20 while wenzenu watawekeza zaidi ya b 70,na iko ndicho mo hataki hata kukisikia na anatumia kila ila kugombanisha wanachama na gsm ili gsm asuse,safari hii asusi mtu hadi kieleweke