Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,617
- 5,645
Mkuu timu yetu haina muunganiko kabisa iko hovyo sana,yaani unaangalia mechi Kagera wako pungufu Ila bado possession ipo kwao,inasikitisha sanaKuna watu kesho watacheza huku wanaogopa picha wanayoiona mbele yao hivyo kwa hofu itabidi wafungwe tu ili wakiepuke kikombe hicho
Hapa sielewi elewi
Mkuu timu yetu haina muunganiko kabisa iko hovyo sana,yaani unaangalia mechi Kagera wako pungufu Ila bado possession ipo kwao,inasikitisha sana
Yetu iko hoi kabisaBaada ya mapumziko ya corona timu nyingi zinaonekana kuchoka, hata ukiangalia ligi za majuu utaona utofauti.
Wachezaji walipumzika na hawakuwa wakifanya mazoezi kwa usahihi.
Yetu iko hoi kabisa
Mkuu huyu Morison aliyafanya Jana usiku pale Regency hotel acha tuPamoja na kwamba jamaa yuko overrated, hili sakata linaniambia vitu viwili.
Uongozi hautekelezi majukumu yake ikiwemo ahadi ya mkataba kama ilivyotuaminisha mwanzoni.
Au jamaa anashauriwa vibaya kiasi kwamba anagoma kukaa meza ya makubaliano ili apate kuondoka.
Yote kwa yote, haileti afya kwenye soka letu.
Mkuu huyu Morison aliyafanya Jana usiku pale Regency hotel acha tu
Apande tu ndege aende huko SA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, kazingua alitoka camp usiku ,walinzi wakamzuia akalianzishaAlifanya nini aisee! Sijasikia michezo kabisa jana leo.
Na humu nadhani haijaandikwa.
Hahahaha, kazingua alitoka camp usiku ,walinzi wakamzuia akalianzisha
Mbn usiku wa Jana, Regency palikua na kikao na huyo dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, huyu mjanja mjanja, tuliwaonya humuNoma sana, nadhani kuna watu wako nyuma ya hili swala lake.
Ngoja tuone ataishia wapi, binafsi naona kama hana kiwango cha kuwaendesha hivi Yanga.