Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,320
- 115,315
🙏🙏🙏Nashukuru wewe unatupatia sana updates za timu. Thanx
Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
🙏🙏🙏Nashukuru wewe unatupatia sana updates za timu. Thanx
Sent from my Infinix-X551 using Tapatalk
Hivi alikuwa hachezi sababu ya madai au kulikuwa na lingine? Nahofia kama ilikuwa ni madai pengine uongozi unaweza kushinda ilihali yeye hajaridhika hivyo anaweza asiwe na moyo pia kama alivyokuwa awali.Uongozi wa #MabingwaWaKihostoriaTanzania, unamkaribisha tena kikosini beki @vicentandrew ‘Dante’ baada ya kumalizika kwa shauri la kesi baina ya pande mbili.
Karibu tena Nyumbani.
@Yangasc
japo nawaza kiwango chake kwa muda aliokuwa nje akishughulikia haki zake.
Yah!! Ni hilo la madai tu Mkuu hakuwa na jengine.Hivi alikuwa hachezi sababu ya madai au kulikuwa na lingine? Nahofia kama ilikuwa ni madai pengine uongozi unaweza kushinda ilihali yeye hajaridhika hivyo anaweza asiwe na moyo pia kama alivyokuwa awali.
Good morning
Of course akiwa professional atapiga kaziYah!! Ni hilo la madai tu Mkuu hakuwa na jengine.
Hata na mie nimewaza hivyo sababu ni TFF ndio wametoa hayo maamuzi na huwezi jua moyoni mwake huenda alishapanga kufanya maisha sehemu pengine.
Ila tusubiri tuone sababu hata Juma Abdul alikuwa na madai kama yake akagoma mwisho wa siku alipomalizana na Uongozi aliporudi wamempa nafasi na anacheza kwa moyo tu.
Good Morning Mkuu.
Mwenyezi Mungu ampe makazi anayostahili Mzee Akilimali.Tanzia:
Klabu ya Yanga inasikitika kutangaza kifo cha Mwanachama wetu Maarufu na Mzee wetu Ibrahim Akilimali kilichotokea alfajiri ya leo Bagamoyo Mkoani Pwani. Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho saa 10 jioni Tandale kwa Mtogole.
Innah lillah wainnah ilayh rajiuun.. Haikuwa Dunia ila ni mapito.
@Yangasc
Amiin Insha Allah.Mwenyezi Mungu ampe makazi anayostahili Mzee Akilimali.
Mkuu Ujue leo ndio nasikia kumbe alikuwa mgonjwa siku nyingi mpaka nikajisemea ndio mana alikuwa kimya sana.Mwenyezi Mungu ampe makazi anayostahili Mzee Akilimali.
Kuna kipindi Aliugua sana akapona hadi akawashukuru wadau mbalimbali kwa kumsaidia. Juzi tu hapa alikuwa poa tu na nilimsikia akiongea. Nimeshangaa kwa hii ghafla!Mkuu Ujue leo ndio nasikia kumbe alikuwa mgonjwa siku nyingi mpaka nikajisemea ndio mana alikuwa kimya sana.
Duuh!! Sikuipataga hii.Kuna kipindi Aliugua sana akapona hadi akawashukuru wadau mbalimbali kwa kumsaidia. Juzi tu hapa alikuwa poa tu na nilimsikia akiongea. Nimeshangaa kwa hii ghafla!
Asante ngoja nipitie previous contributions za watu nipate pa kuanziaInjili ya Gheto huku ndio Nyumbani.
Uzi mrefu sana huu na watu si wengi ambao wanachangia wengi wanapita kimya kimya.Asante ngoja nipitie previous contributions za watu nipate pa kuanzia
Sent using Jamii Forums mobile app