Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,274
- 115,199
Hivi zile Tano tano mlikwenda Mahakamani kwani Mtani? 🤔🤔🤔Matokeo hayo hayakubaliki.
Tutakwenda mahakamani.
Hivi zile Tano tano mlikwenda Mahakamani kwani Mtani? 🤔🤔🤔Matokeo hayo hayakubaliki.
Tutakwenda mahakamani.
Dooh.Natangaza kuacha kushabikia hii timu mpaka siku arsenal akichukua uefa,, qudadadeq huku man u mbovu huku wananchi nao wanazngua si balaa hili
Tuombeane tu hizi nyakati zipite salamaDooh.
Zitapita tu Mkuu.Tuombeane tu hizi nyakati zipite salama
Mkuu chanel namba ngapi dstv inaonyeshwa
Ukweli mtupuNichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi wa Yanga kwa kulivunjilia mbali benchi la ufundi la timu yetu. Ni wakati sasa wa kuikabidhi timu kwa watu makini, wabunifu, wenye uchungu na wenye mbinu stahili ndani na nje ya uwanja.
Kamati ya akina Bin Kleb na Seif Magari irejeshwe ili wakati wa usajili wa dirisha dogo, timu iwaondoe wachezaji wenye mchango mdogo kwenye klabu, na kusajili wapambanaji.
Yanga ina uwezo wa kuwa bingwa kwa mara tatu mfululizo kama ilivyofanya miaka michache iliyopita. Ila kwa hiki kikosi alichokisajili Mwinyi Zahera, TUSAHAU!
Changieni timu, acheni maneno ya vijiweni.Nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi wa Yanga kwa kulivunjilia mbali benchi la ufundi la timu yetu. Ni wakati sasa wa kuikabidhi timu kwa watu makini, wabunifu, wenye uchungu na wenye mbinu stahili ndani na nje ya uwanja.
Kamati ya akina Bin Kleb na Seif Magari irejeshwe ili wakati wa usajili wa dirisha dogo, timu iwaondoe wachezaji wenye mchango mdogo kwenye klabu, na kusajili wapambanaji.
Yanga ina uwezo wa kuwa bingwa kwa mara tatu mfululizo kama ilivyofanya miaka michache iliyopita. Ila kwa hiki kikosi alichokisajili Mwinyi Zahera, TUSAHAU!
Hahahaaa!!! Mtani Yule kapagawa sababu hakutegemea kukutwa na yaliyomkuta.MWINYI ZAHERA
Kule Mwanza wakati tunajiandaa kucheza na Pyramids viongozi walituweka kwenye Hotel ya kwenye mtaa kama Kariakoo.
Shadeeya
Tangia aanze kuzungumzia baadhi ya mechi za yanga sijawahi kuona kilichoendana na kauli zake. 🤣🤣🤣Baada ya kufukuza benchi la ufundi sasa tumfukuze Antonio Nugaz. Anatuaibisha sana mana anaonyesha hajui chochote kuhusu mpira Wa miguu na anapwaya sana kwenye nafasi yake
Tangia aanze kuzungumzia baadhi ya mechi za yanga sijawahi kuona kilichoendana na kauli zake. 🤣🤣🤣
Kazi ipo Mkuu. Tatizo anataka kushindana na Manara.Yaani we acha tu hebu msikize hata hapo hivi. Hadi nimefumba macho badala ya masikio asee
Hiki ndio alichokuwa anataka mlio wengi mumuhuzunikie.Jana nimemsikiliza Zahera clouds nimehuzunika sana akilinganishanisha UMAARUFU WA YANGA NA UMASIKINI WA CLUB.
Ifike mahali mashabiki tuondoe hizi aibu. Tuchangeni pesa tuwekeze kwenye miundombinu ya club:-
MAJENGO
VIWANJA
MIUNDOMBINU MINGINE.
Mashabiki wa Yanga wanakadiriwa 15M
Kila shabiki achange 5,000 kiasi kitakachokusanywa ni bilioni 75.
Hii pesa unajengwa uwanja wa match na wa mazoezi vya kisasa, jengo la utawala la kisasa, hostel za wachezaji na chenji inabaki.