Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,054
Tuombe
Tuombe uzima Shadeeya maana tusiandikie mate na wino ungalipo. Nitakua pembeni yako nikiwa tayar kabisa kutoa huduma ya kwanza maana nahisi pressure yako itakua juu muda wote wa mechiSubiria Jumamosi Ses pia nikukaribishe uje ujionee yatakayotokea dhidi ya Zesco.