Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,274
- 115,199
Natamani Mkia warudie kusoma hizi Post.Mpira hauna ugenini wala nyumbani baka alishinda tatu akapigwa nne
Kwahyo usikalili katika soka hatuna formula ya ushind unapigwa hata kwako
Kwahyo Simba kupata droo kule na ud songo ndio unategemea atashinda kwa urahis hapa taifa unajua timu pinzani inakuja na plan gani?¿??????