Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,335
- 6,616
Itakuwa vyema zaidi Mkuu kwani misimu miwili iliyopita tulikuwa dhohofu lihali na kama msimu huu wachezaji tu na hamasa ya kocha ndio iliyotufanya tusimame na kuwapeleka puta mikia.
Hivi huyo Lamine Moro ni mzuri kweli nina wasiwasi kama atakua sio mzito kama Wawa, na huyo Mzambia ni kweli tumesajili? Uzuri nimeziona dalili za ari ya kufanya vizuri msimu ujao