radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,429
- 32,173
Haya jamani hongereni nimepita kuchangamsha tu.Ujue unahama hama mada. Hizi ni dalili za kuteseka Mtani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya jamani hongereni nimepita kuchangamsha tu.Ujue unahama hama mada. Hizi ni dalili za kuteseka Mtani.
Usijali na jumanne uje kuchangamsha kule kwenye Uzi wenu.Haya jamani hongereni nimepita kuchangamsha tu.
Watapata taabu sana hao shemela.Nimeshawapa taarifa ili wajue kwamba ile Yanga waliyoiita baiskeli ya mabarafu si kweli kama walivyodhania.
Ki ukweli hizi timu mi sio mshabik mkuu huwa napenda kutia neno tu mi ni mshabik wa prison ya mbeya kidogo mbeya city na manchester united sijawahi kuwa na moyo wa kushabikia yanga au simba toka naanza kuujua mpira huwa napenda kutania tuUsijali na jumanne uje kuchangamsha kule kwenye Uzi wenu.
Esperance ya tunisia sio mwarab anakufa mbili moja apo chin zahera ushasahauMwaka gani mkuu?
Kabisa usemalo Shemela. Na tukishinda ka hivi wanazidi kujawa na hofu, namna ya kuvipasha viporo vyao.Wa
Watapata taabu sana hao shemela.
Nimekusoma mkuuEsperance ya tunisia sio mwarab anakufa mbili moja apo chin zahera ushasahau
Al alhy nae alikufa moja apo bao safi la cannavaro kabla Yakwenda kushnda moja uko Alexandria na game kwnd matuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Sema ukweli bana Mkuu sababu umekuja na gia ya Kimkia Mkia kabisaaa. 😎😎Ki ukweli hizi timu mi sio mshabik mkuu huwa napenda kutia neno tu mi ni mshabik wa prison ya mbeya kidogo mbeya city na manchester united sijawahi kuwa na moyo wa kushabikia yanga au simba toka naanza kuujia mpira huwa napenda kutania tu
Hahaha hapana sio mshabik wa mikia au vyura mi ni prison au mbeya city na manchester unitedHahahaaa. Sema ukweli bana sababu umekuja na gia ya Kimkia Mkia kabisaaa.
Okay. Usijali Mkuu.Hahaha hapana sio mshabik wa mikia au vyura mi ni prison au mbeya city na manchester united
Hahahaaa. Wakaze ziwe goli chache Mkuu.
Mtani vp mbona sikuoni kwenye radaHahahaaa. Wakaze ziwe goli chache Mkuu.
Rada zipi? 😂😂😂😂
Nipo Kwa Mkapa hapa naicheki timu ya Wananchi. 😜😜😜
Pole sana Mtani.