LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
12/12/2011 Mi kwangu jamani naona kama si heshima kwa YangaFC na SimbaFC kukipiga na Asante Kotoko Fc ya Ghana wakiwa kama timu moja. Si kwamba tumejishusha kisoccer? Ama ndivyo urafiki utadumishwa? Hivi siku moja kweli utasikia mahasimu wakubwa wa Jiji la London Man United & Man City wameungana na kukipiga na Barcelona FC? Mi kwangu hainiingii hata kidogo na ingetakiwa wakikipiga siku hiyo na ISOMEKE UBAONI HIVI:Yanga & Simba 0 Asante Kotoko 4 FT. TFF HAWANA TOFAUTI NA HAWA MAGAMBA WA sisiem! SOURCE: RFA!