Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,990
- 8,909
Sasa sisi kweli hatuna huo uwezo??maana mataifa mengi yameshajikwambua.Waliitengeneza wenyewe kuenendana na mazingira, maisha na tamaduni zao.
Naona kikubwa kwetu "africa" ni ubinafsi wa viongozi wetu hawa.