The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,436
- 17,082
Mimi sio mtu wa dini, nimeshangaa leo na renew you tube premium membership yangu naletewa suggestions za nyimbo za dini wakati sijawahi kuzitafta kwenye huo mtandao hata siku moja.
Mbaya zaidi you tube wameniletea ngoma za zamani za kina malebo, kina kijitonyama choir nk za enzi zile naelekea kua young adult.
Anyway, nimezisikiliza chache kuwakumbuka my childhood friends niliokua nao ambao tulikua tunasikiliza hizo kwaya kwa redio cassette za mzee wao ambae alikua mchungaji.
Mimi pia nilikulia kwa mjomba wangu ambae ni mchungaji, mafundisho ya Sunday school nimefanya sana, vijana nk.
Kwa sasa sina imani ya uwepo wa mungu kwa sababu ni ukweli usiopingika kwamba Mungu hayupo, dini ni hadithi tu za uongo za kutunga.
Tumalizie na wimbo wa kwaya😂
Mbaya zaidi you tube wameniletea ngoma za zamani za kina malebo, kina kijitonyama choir nk za enzi zile naelekea kua young adult.
Anyway, nimezisikiliza chache kuwakumbuka my childhood friends niliokua nao ambao tulikua tunasikiliza hizo kwaya kwa redio cassette za mzee wao ambae alikua mchungaji.
Mimi pia nilikulia kwa mjomba wangu ambae ni mchungaji, mafundisho ya Sunday school nimefanya sana, vijana nk.
Kwa sasa sina imani ya uwepo wa mungu kwa sababu ni ukweli usiopingika kwamba Mungu hayupo, dini ni hadithi tu za uongo za kutunga.
Tumalizie na wimbo wa kwaya😂