ENANTIOMER
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 1,419
- 804
kiki tu. inamaana chuo hakijapeleka matokeo kweli? au ni kutaka kutuaminisha wananchi kua vyuo ndivyo vinavyowakwamisha!Kwani majina yanaoelekwa kufanywa nini?
Mimi jimesikia kuna vyuo 16 wameambiwa wapeleke matokeo ya wanafunzi ili waweze kupatiwa fedha za kujikimu kwa mwaka unaofuata.