Kulupango
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 288
- 534
ACT wazalendo kuna wanawake wazuri, na hiyo rangi ya purple ndo kabisaa imewakoleza, si wamama watu wazima wala mabinti, wote wako bomba, si weusi wala wale weupe wote wanameremeta hatari, nimeshawishika kuchukua kadi, halafu ni wasafi sana kwa mtazamo, nadhani itakuwa ni moja ya sera yao. Hakika wanastahiki pongezi sana. Na kingine nilichogundua wengi hawana sare za chama bali ni mavazi yao binsfi yenye mng'ao wa purple.