Surveillance
Member
- Dec 2, 2018
- 25
- 22
Nchi yetu inapitia kipindi kigumu kwa kuwa mahusiano yetu na nchi wahisani wa maendeleo umelegalega. Jamani tukumbuke Utu na Utanzania wetu kwanza, tuthaminiane, tupendane. Chuki haijawahi kuzaa matunda mema katika historia ya Dunia hii.