Huyu bwana ni lazima ahudhurie harusi ya mwanawe kesho, Period!... Kivipi,? hio sio headache yake.... ni headache ya mawakili, wahakimu, wanasheria na wakulu wenzake walioko nje...bila hivyo, ule MPASUKO wa visiwani utavuka bahari.
Huo mpasuko tunausubilia kwa mikono yote miwili...