Sijawahi kufanya hiyo biashara but nawezaUnaweza kuchoma chips?
sawa kiongoziKama upo tayar nenda Ilemela shule ya msingi kuna hapo hapo kuna ofisi za mtendaji kuna tangazo LA kujitolea katika zahanati ya Ilemela.
asante mkuu lakini sikusomea mambo ya maabara mkuuMcheki huyu jamaa fasta +255 693 816 143 Yupo Bwiru anatafuta mtu wa kumkampan kwenye maabara yake Anaitwa Dr. Alex
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us