Yeye RC, mimi Luthelan

Akilitime

JF-Expert Member
Dec 27, 2017
581
757
Anasema hayupo tayari kuhamia Lutheran.
Anadai abaki kwenye dhehebu lake na mimi nibaki kwenye dhehebu langu hata tutakapoingia kwenye ndoa.
Wakuu hali kama hii si kukaribisha migogoro ya hapo baadae?
Ushauri
 
Anasema hayupo tayari kuhamia Lutheran.
Anadai abaki kwenye dhehebu lake na mimi nibaki kwenye dhehebu langu hata tutakapoingia kwenye ndoa.
Wakuu hali kama hii si kukaribisha migogoro ya hapo baadae?
Ushauri

Hakuna mgogoro wote ule. Anzeni maisha aisee. RC wanaruhusu ndoa za mseto. Watoto mtakaojaliwa wataamua wenyewe upande wa kwenda.

Mzee Yusuf Makamba ni muislam, ila mke wake ni RC hadi kesho. Mary Majaliwa ni RC kindakindaki na mh. Waziri Mkuu ni Muislam, maisha yao yanaendelea vizuri. Mifano ni mingi. Hizi dini zimeletwa tu na wageni, haziwezi kututenganisha na wapendwa wetu kihivyo.
 
Watu wanikomalia mambo ya dini unakuta mpaka sasa mlishakulana papuchi (mmezini) bado mnakomaa na dini. Unakuta mnasema uongo yaani kwa ufupi mnavunja amri zote za Mungu lakini bado mnakomaa na dini..

Hakuna atakayeenda mbinguni kisa dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anasema hayupo tayari kuhamia Lutheran.
Anadai abaki kwenye dhehebu lake na mimi nibaki kwenye dhehebu langu hata tutakapoingia kwenye ndoa.
Wakuu hali kama hii si kukaribisha migogoro ya hapo baadae?
Ushauri
Dini zenu ndo zina oana?

Kwani kuna tatizo Gani wewe ukimfuata au yeye akiamua kukufuata mnaabudu mungu huyo huyo hizi mbanga za sitaki kwenda kule sitaki enda huku mnazitoa wapi?

Yaonyesha nyinyi nyote mnaujeuri Fulani hivi hivo sio rahisi kuelewana jaribuni tafuta suruhu kwanza kwa Aya mambo madogo maana ndoa Ni taasisi inavimbwenga vya kila Aina sijui kama mtaweza kama mtashindwa Na hili dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Back
Top Bottom