Mimi Ni Mtu Wa Mungu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 681
- 1,285
Wakenya mpo serious kabisa na jamaa kuwa ni Yesu?
Mnyimeni airtime ebooh
Mnyimeni airtime ebooh
AiseeNi wakweli au sio wa kweli Mungu alie mtuma ndo anaejua, wakiristo wa Tanzania changamkieni hu unabii wa uenda ni mkweli mkawa taifa teule.
YESU WA BUNGOMA NCHINI KENYA ASEMA WATU 168,000 WATAENDA MBINGUNI
Yesu wa Bungoma azidi kuzua gumzo baada ya kudai kwamba watu 168,000 pekee ndio watakaoenda mbinguni duniani kote.
Kulingana na Yesu huyo pia ni kwamba watu wawili pekee kutoka Nairobi ndio watakaofanikiwa kuingia mbinguni.
Nini maoni yakoView attachment 2504024View attachment 2504025
Tuamini nini ikiwa Yesu mwenyewe alisema watatoke kina yesu wa uongo? Kuna yesu wa urusi aliyeitwa tirop, kuna mwingine alitokea amerika ya kusini, haya tena katokea kenya mwingine. Tena huyu wa kenya hana vigezo vya uyesu. Huyu wa kenya ana mke. Watu hawana aibu wamefikia hatua ya kujiita mitume, manabii, makerubi, maserafi, makuhani, malaika na mungu, wapumbavu wasiosoma maandiko matakatifu wanawaamini
Ni muda amekaa mbinguni miaka 2000 atakuwa kasahau lughaYesu alikuwa Myahudi Mmazareth na asili ya wayahudi (Jews) ni weupe, na wanazungumza kiyahudi sasa huyu mbona ni mweusi ma hazungumzi kiyahudi?
Mazuzu mmekutana unajua idadi ya watoto wadogo wanao kufa chini ya miaka 4 ...je unajua idadi ya mataahira wanao zaliwa hivyo na kufa hivyo je hao unadhani wana hatia mbele za huyo mungu wako wa mchongo l...kwakutumia akili ya kawaida tu huyo jamaa ni muhuni tu kama tujuavyo watoto wadogo wote wanao kufa utotoni na watakao kuwepo siku ja kiama wote ni watakatifu wa peponiHapo sisemi kwamba yupo sahihi ila naona hio ni makadirio mazuri maana hamna kitu kigumu kama kujisacrifice kwa ajili ya yesu mwokozi ni ngumu sana hata mimi nilishawahi kuota kwamba Arusha watu 2 tu ndo watakao nyakuliwa hivyo namwamini kwa Percent fulani huyu jamaa
Kama mnabisha subirieni kiama mtaona cha mtema kuni tu
Na log on
Yeye haishi Nairobi.Kwenye hao wawili, na yeye yumo?
Kama ni Yesu wa kweli, naomba anisamehe. Nimekosa mimi!
Yaani umpige kisa Nini mkuu?Huyu wa kupiga yaani
Wewe wapi pameandikwa hivyo?Mazuzu mmekutana unajua idadi ya watoto wagogo wanao kufa chini ya miaka 4 ...je unajua idadi ya mataahira wanao zaliwa hivyo na kufa hivyo je hao unadhani wana hatia mbele za huyo mungu wako wa mchongo l...kwakutumia akili ya kawaida tu huyo jamaa ni muhuni tu kama tujuavyo watoto wadogo wote wanao kufa utotoni na watakao kuwepo siku ja kiama wote ni watakatifu wa peponi
Ndugu zangu nafurahi kuwaambia katika hao watu 168,000 na mimi nimo na nimeshachagua Seat yangu ni ya dirishani kuume Kwa Baba.Dunia haiishi vituko, yule jamaa anaye dai kuwa yeye ndo Yesu aliye rudi kutoka mbinguni amedai kuwa ni watu 168,000 pekee duniani ndo watafanikiwa kuingia mbinguni, aidha ameongeza kuwa kwenye jiji la Nairobi ni watu 2 tu ndo wataingia mbinguni wengine wote wataenda motoni.View attachment 2504093
Uandishi wako tu pekee unanikubusha mstari wa biblia unaosema "nao watawadanganya wengi"ss ww ni miongoni mwao hao wengi walotajwa hapo,af inabid ututajie na wenzio,maana biblia inasema MTAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFANawewe utajikuta kwenye vita ya maneno utakuja kuuliwa na David hivo hivo, mpaka utowe ushahidi kutoka bibulia kwamba huyu ni Yesu batili bila hivo utaaminika
Ila dah sisi wakristo tumezidi hadi heshima inashuka. Tungetakiwa kuacha mzaha.Haya Stress Challenger kajiunge uwe kondoo mtiifu wa huyo mwamba..
Yesu ana mke kafana na Mrisho MpotoYesu gani mchafu hivyo
USSR