Una ushahid waweza niwekea ushahid wa picha zisizo na kuchorwa za waarabu wakifanya utumwa ,,,,kama uislam n wa waarabu why wao ndio walianza kumpinga mtumeKujiunga na uislam ni kuwadharirisha wazee wetu waliouzwa na waarabu na kufanywa watumwa kwa kuteswa sana.