mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,504
- 19,854
Hiyo ni dharau,Quran inasema ukifa kwa njaa umepata dhambi, pia inaruhusu kula nguruwe halafu unaruhusiwa kuungama hy dhambi.
Yani kwenye Uislamu unaruhusiwa kutenda dhambi halafu ukaungama.
Hata mtu muovu anaweza kuliwa kunusuru watu wema.