Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
:fencing: Sababu kuu kwa nini Wanaume na wanawake wako tofauti katika maamuzi na katika jinsi ya kufikiri ni kwa sababu rahisi tu...Wanaume ni Wajinga na Wanawake ni Vichaa...
Oh yes, I said it....Na Wanawake ni Vichaa kwa sababu Wanaume ni Wajinga,na Wanaume ni Wajinga kwa sababu Wanawake vichaa wamewafanya wawe hivyo.Kamwe watu hawa wawili hawawezi kufanana kimtazamo labda mmoja abadili jinsia...Na kwa sababu Mwanaume ni mjinga anaamini Mwanamke ambaye ni kichaa hawezi kufikiri sawasawa,na Mwanamke kichaa anaona Mwanaume mjinga anashindwa kuelewa jinsi ya kucontrol kichaa chake.
Ili Mwanaume aweze kumcontrol Mwanamke ni lazima ajue jinsi ya kuishi na kichaa chake,akishindwa kinamlipukia.Na ili Mwanamke aweze kuishi na Mwanaume,inabidi ajue Mwanaume ni Mjinga na inabidi asitumie kichaa chake kumuonea,inabidi amsaidie atoke kwenye ujinga ili amwelewe kichaa chake wawe parallel.
SAm proud kuwa mjinga mwenye uwezo wa kuelewa kichaa cha Mwanamke yoyote hata aliyetoka Milembe leo atatulia tu!
Oh yes, I said it....Na Wanawake ni Vichaa kwa sababu Wanaume ni Wajinga,na Wanaume ni Wajinga kwa sababu Wanawake vichaa wamewafanya wawe hivyo.Kamwe watu hawa wawili hawawezi kufanana kimtazamo labda mmoja abadili jinsia...Na kwa sababu Mwanaume ni mjinga anaamini Mwanamke ambaye ni kichaa hawezi kufikiri sawasawa,na Mwanamke kichaa anaona Mwanaume mjinga anashindwa kuelewa jinsi ya kucontrol kichaa chake.
Ili Mwanaume aweze kumcontrol Mwanamke ni lazima ajue jinsi ya kuishi na kichaa chake,akishindwa kinamlipukia.Na ili Mwanamke aweze kuishi na Mwanaume,inabidi ajue Mwanaume ni Mjinga na inabidi asitumie kichaa chake kumuonea,inabidi amsaidie atoke kwenye ujinga ili amwelewe kichaa chake wawe parallel.
SAm proud kuwa mjinga mwenye uwezo wa kuelewa kichaa cha Mwanamke yoyote hata aliyetoka Milembe leo atatulia tu!