Yericko Nyerere, tweet yako inaweza kukuletea shida kwanini ina tuhuma nzito kwa muhusika

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.

Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.

Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.

Pia, umekuwa mjanja katika kutaja (kuandika) first name ya muhusika, hivyo itabidi wafanye kazi ya ziada iwapo watakusudia ku-deal na wewe.

All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
 
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.

Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Naunga mkono hoja, Tanzania inafuata mfumo wa haki wa Uingereza unaofuatwa katika nchi zote za Jumuiya ya Madola, ambao unasema,
  1. Watu wote ni sawa mbele ya sheria
  2. Kila mtu ni innocent until proven guilty
  3. Mtu hatashitakiwa mara mbili kwa kosa lile lile
  4. The one who alleges, must prove
  5. The burden of proof lies with the prosecution
  6. Every body is entitled of fair trial
  7. Na mengine mengi
Hivyo ukitoa tuhuma zozote in public, hakikisha una ushahidi, hata ukiulizwa unaweza kuthibitisha.

Ushauri kama huu, niliwahi kuutoa humu
P
 
Naunga mkono hoja, Tanzania inafuata mfumo wa haki wa Uingereza unaofuatwa katika nchi zote za Jumuiya ya Madola, ambao unasema,
  1. Watu wote ni sawa mbele ya sheria
  2. Kila mtu ni innocent until proven guilty
  3. Mtu hatashitakiwa mara mbili kwa kosa lile lile
  4. The one who aleges must prove
  5. The burden of proof lies with the prosecution
  6. Every body is entitled of fair trial
  7. Na mengine mengi
Hivyo ukitoa tuhuma zozote in public, hakikisha una ushahidi, hata ukiulizwa unaweza kuthibitisha.

Ushauri kama huu, niliwahi kuutoa humu
P
aleges=alleges

Vp kuhusu kabendera hukumtendea haki mwandishi mwenzako ujue

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja, Tanzania inafuata mfumo wa haki wa Uingereza unaofuatwa katika nchi zote za Jumuiya ya Madola, ambao unasema,
  1. Watu wote ni sawa mbele ya sheria
  2. Kila mtu ni innocent until proven guilty
  3. Mtu hatashitakiwa mara mbili kwa kosa lile lile
  4. The one who aleges must prove
  5. The burden of proof lies with the prosecution
  6. Every body is entitled of fair trial
  7. Na mengine mengi
Hivyo ukitoa tuhuma zozote in public, hakikisha una ushahidi, hata ukiulizwa unaweza kuthibitisha.

Ushauri kama huu, niliwahi kuutoa humu
P

Inafuata mfumo tu au nakutekeleza? We jamaa wa hovyo sanq
 
Naunga mkono hoja, Tanzania inafuata mfumo wa haki wa Uingereza unaofuatwa katika nchi zote za Jumuiya ya Madola, ambao unasema,
  1. Watu wote ni sawa mbele ya sheria
  2. Kila mtu ni innocent until proven guilty
  3. Mtu hatashitakiwa mara mbili kwa kosa lile lile
  4. The one who aleges must prove
  5. The burden of proof lies with the prosecution
  6. Every body is entitled of fair trial
  7. Na mengine mengi
Hivyo ukitoa tuhuma zozote in public, hakikisha una ushahidi, hata ukiulizwa unaweza kuthibitisha.

Ushauri kama huu, niliwahi kuutoa humu
P
Pascal Mayala , Salute kwako Mimi ni mmoja wa watu wanaokukubali Sana maana mchango wako kwa nchi yetu ni mkubwa Sana ,hongera Sana.Lakini shida yangu kwako wewe ni MBINAFISI Sana inakuaje wewe ni mwanasheria mzuri kiasi hicho na sheria unazijua vizuri lakini hutaki kuingia na kuitumikia taaluma yako mahakamani kama wakili?

Nchi yetu inakuhitaji Sana kwenye hiyo kazi kwa maana bado tuna mambo mengi ya kufanya kama vile katiba mpya.
Nakuomba Sana na kwa unyenyekevu mkubwa uingie kwenye hii taaluma mchango wako unahitajika Sana..
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom