OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,312
wakati mwingine unazingua
Majina mengi tu ya watu yanatofautishwa na herufi moja.Hapana bwana.
Inaweza ulizwa kisemantiki Rashidi na Rashid zina tofauti? Mfano Rashidi ni jina la kinywaji na Rashid ndiyo jina la binadamu. Ikionekana semantically haipo hivyo inakua concluded hivyo viwili vinabeba maana moja.
Ndiyo kwenye Paulo na Paul. Semantically zina maana tofauti? Haziwakilishi same entity yaani jina la binadamu?
Lisu alichomoka easily kwenye JPM kwavile ni kifupi na haihold water semantically kusema inamaanisha kitu kimoja.
Ooh haya sawaMajina mengi tu ya watu yanatofautishwa na herufi moja.
Hili sina shaka nalo kabisa ingawa ukianza kuchambua kisarufi ndio utaleta maana unayoizungumzia hapo.
Mamlaka zetu za Elimu zinatutaka majina yetu yote yafanane kwa kila hatua ya Elimu unayopita, herufi moja ikitofautiana huwa jina linakuwa tofauti.
Kwa mantiki hiyo Yeriko kacheza kama Pele
Kumbe una hadithi nzuri hivi!Kama kuna ukweli nenda mahakamani kazithibitishe. Usije ukawa kama jirani yangu Mwakiaba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyahingi hapa Jijini Mwanza kupitia Chadema kajifanya mjuaji karopoka. Kapelekwa mahakamani athibitishe, akabaki analia tu. Kahukumiwa, mke wake akaanza kupitisha daftari mtaani tumchangie asifungwe. Leo kimya!!!!!
Ilikuwaje?Issue ni kuthibitisha sio kutuhumu tu, amuulize mwenzie Peter Msigwa mwishoe ikawa aibu tu.
Alipigwa Faini Ya Uongo na Mahakama??FungukaKama kuna ukweli nenda mahakamani kazithibitishe. Usije ukawa kama jirani yangu Mwakiaba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyahingi hapa Jijini Mwanza kupitia Chadema kajifanya mjuaji karopoka. Kapelekwa mahakamani athibitishe, akabaki analia tu. Kahukumiwa, mke wake akaanza kupitisha daftari mtaani tumchangie asifungwe. Leo kimya!!!!!
Ndio. Nipigie makofi matatu basi!Kumbe una hadithi nzuri hivi!
Mbona kama taarifa haijakamilika au ina hang hang tu.Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.
Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.
Pia, umekuwa mjanja katika kutaja (kuandika) first name ya muhusika, hivyo itabidi wafanye kazi ya ziada iwapo watakusudia ku-deal na wewe.
All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Ungeongea nae hukohuko Twitter au kwa njia nyingine badala ya kutushirikisha humu jf kwa jambo kama hili. Lisilo na kichwa wala miguu!Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.
Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.
Pia, umekuwa mjanja katika kutaja (kuandika) first name ya muhusika, hivyo itabidi wafanye kazi ya ziada iwapo watakusudia ku-deal na wewe.
All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.
Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.
Pia, umekuwa mjanja katika kutaja (kuandika) first name ya muhusika, hivyo itabidi wafanye kazi ya ziada iwapo watakusudia ku-deal na wewe.
All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Ni issue ya mashoga bana.Mkuu US waliweka wazi kwanini walimzuia kuingia US ,moja ya issue kubwa ni kudhulumu haki ya kuishi ya baadhi ya watu(Simple ni Kuua)...Kwahiyo Yericko Nyerere yuko sahihi.
Ok,sawa kiongozi.View attachment 1823676
Endelea kufarijika na taarifa hii ya Marekani kama unajua vema kusoma kiingereza utaelewa....
Huu ndio ukweli wameamua kumlinda muuaji Bashite kwa kua ni shoga ake / ”shostito” na Samia. Watanzania sio wajinga.All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Mkuu Pascal Mayalla tunaomba majibu yako juu ya hili.Vp kuhusu kabendera hukumtendea haki mwandishi mwenzako ujue