Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,551
Asante , hizi lugha za watu!.
P
Asante , hizi lugha za watu!.
Kama kuna ukweli nenda mahakamani kazithibitishe. Usije ukawa kama jirani yangu Mwakiaba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyahingi hapa Jijini Mwanza kupitia Chadema kajifanya mjuaji karopoka. Kapelekwa mahakamani athibitishe, akabaki analia tu. Kahukumiwa, mke wake akaanza kupitisha daftari mtaani tumchangie asifungwe. Leo kimya!!!!!Kuna uongo katika tuhuma hizo?
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.
Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.
All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Je, Wewe ni DCI / Mkurugenzi wa PCCB?Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.
Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.
All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Aje mara ngapi wakati ameshakuja kwa hii 'anonymous' ID yake na sasa 'anatuchora' zake tu huko aliko?Yericko Nyerere njoo huku jirani.
.Jamaa kwani simu yako haina uwezo wa screenshot? Kila siku tunakwambia taarifa kama hizo lete na screenshot.
"Mfumo wa haki"!!! "Justice system"Naunga mkono hoja, Tanzania inafuata mfumo wa haki wa Uingereza unaofuatwa katika nchi zote za Jumuiya ya Madola, ambao unasema,
Hivyo ukitoa tuhuma zozote in public, hakikisha una ushahidi, hata ukiulizwa unaweza kuthibitisha.
- Watu wote ni sawa mbele ya sheria
- Kila mtu ni innocent until proven guilty
- Mtu hatashitakiwa mara mbili kwa kosa lile lile
- The one who alleges, must prove
- The burden of proof lies with the prosecution
- Every body is entitled of fair trial
- Na mengine mengi
Ushauri kama huu, niliwahi kuutoa humu
PTuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!
Wanabodi, Hili ni bandiko la wito wa Tuacheni Ramli Chonganishi Kuhusu Mhusika wa Shambulizi la Risasi kwa Mhe. Tundu Lissu, kupotea kwa mwana jf maarufu Ben Saanane, kupotea kwa mwanahabari Azory Gwanda, kuibuliwa kwa miili yenye majeraha kwenye viroba, au vitendo vingine vyovyote vya...www.jamiiforums.com
Hii hapaNimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.
Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.
Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.
All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Bwana njaa inabidi tu atoke hadharani ajitetee kuhusu hili. Vinginevyo atazikwa nalo.aleges=alleges
Vp kuhusu kabendera hukumtendea haki mwandishi mwenzako ujue
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Unaambiwa siku hizi halali usingizi mnonoDaudi Albert Bashite
Roho za uliowaua zinakulilia!
Cross explanationYeriko kamtaja Paulo Makonda kwenye tweet, huyu mnayemtetea ni Paul Makonda.
Hili kitaalamu tunaliitaje..?
Ahsante kwa muongozo mzee wetu wa kilingeniCross explanation
Issue ni kuthibitisha sio kutuhumu tu, amuulize mwenzie Peter Msigwa mwishoe ikawa aibu tu.Kuna uongo katika tuhuma hizo?
Moja ya kazi nzuri alizofanya Mzee Alli Hassan Mwinyi ni uhuru wa habariWaache waparurane wenyewe ndio Uhuru wa habari wenyewe
Kwamba Zero na Sifuri ni tofauti au siyo?Yeriko kamtaja Paulo Makonda kwenye tweet, huyu mnayemtetea ni Paul Makonda.
Hili kitaalamu tunaliitaje..?
Ndio mkuu.Kwamba Zero na Sifuri ni tofauti au siyo?
Hapana bwana.Ndio mkuu.
Askofu Rashidi na Askofu Rashid ni watu wawili tofauti