Yericko Nyerere, tweet yako inaweza kukuletea shida kwanini ina tuhuma nzito kwa muhusika

Kuna uongo katika tuhuma hizo?
Kama kuna ukweli nenda mahakamani kazithibitishe. Usije ukawa kama jirani yangu Mwakiaba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtaa wa Nyahingi hapa Jijini Mwanza kupitia Chadema kajifanya mjuaji karopoka. Kapelekwa mahakamani athibitishe, akabaki analia tu. Kahukumiwa, mke wake akaanza kupitisha daftari mtaani tumchangie asifungwe. Leo kimya!!!!!
 
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.

Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.

Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.

All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.

Mkuu US waliweka wazi kwanini walimzuia kuingia US ,moja ya issue kubwa ni kudhulumu haki ya kuishi ya baadhi ya watu(Simple ni Kuua)...Kwahiyo Yericko Nyerere yuko sahihi.
 
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.

Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.

Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.

All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Je, Wewe ni DCI / Mkurugenzi wa PCCB?
 
Jamaa kwani simu yako haina uwezo wa screenshot? Kila siku tunakwambia taarifa kama hizo lete na screenshot.
.
nimemsaidia
Screenshot_20210619-000023.png
 
Naunga mkono hoja, Tanzania inafuata mfumo wa haki wa Uingereza unaofuatwa katika nchi zote za Jumuiya ya Madola, ambao unasema,
  1. Watu wote ni sawa mbele ya sheria
  2. Kila mtu ni innocent until proven guilty
  3. Mtu hatashitakiwa mara mbili kwa kosa lile lile
  4. The one who alleges, must prove
  5. The burden of proof lies with the prosecution
  6. Every body is entitled of fair trial
  7. Na mengine mengi
Hivyo ukitoa tuhuma zozote in public, hakikisha una ushahidi, hata ukiulizwa unaweza kuthibitisha.

Ushauri kama huu, niliwahi kuutoa humu
P
"Mfumo wa haki"!!! "Justice system"
Nadhani umejielekeza vibaya "common law" is very different na hicho ulicho maanisha.
Pili kama aliyetajwa anaona hakutendewa haki/kaonewa/kadhalilishwa akafungue shauri mahakamani dhidi ya yerico for the record
membe versus musiba & f.karume vrs musiba wote wamemshtaki msiba kwa mazingira yanayofanana na hayo.
NB: siungi mkono kudhalilisha watu mitandaoni
 
Nimeona umeandika ujumbe katika mtandao wa twitter huku ukimshushia tuhuma nzito yule RC wa zamani mwenye kashifa nyingi pengine kuliko wote.

Wasiwasi wangu ni wahusika kukuhitaji wakitaka utoe ushahidi wa tuhuma ulizotoa ingawa si mpya kwani ni wengi wanamtuhumu ila wewe umekwenda mbali kwa kumtaja moja kwa moja.

Hata hivyo, maadam umetaja jina tu bila kuweka cheo alichokuwa nacho, unaweza ukawageuzi kibao kwa kuwataka waseme wamejuje kuwa umemlenga yeye kwani jina kama hilo linaweza kuwa ni la mtu zaidi ya mmoja.

All in all, jipange in case of anything kwani kama wameamua kumlinda, basi wanaweza kuwa wakali kwa yoyote anaemuandama wazi wazi kama ulivyofanya.
Hii hapa
Screenshot_20210619-001850_Twitter.jpg
 
Yeriko kamtaja Paulo Makonda kwenye tweet, huyu mnayemtetea ni Paul Makonda.

Hili kitaalamu tunaliitaje..?
 
Ndio mkuu.

Askofu Rashidi na Askofu Rashid ni watu wawili tofauti
Hapana bwana.

Inaweza ulizwa kisemantiki Rashidi na Rashid zina tofauti? Mfano Rashidi ni jina la kinywaji na Rashid ndiyo jina la binadamu. Ikionekana semantically haipo hivyo inakua concluded hivyo viwili vinabeba maana moja.

Ndiyo kwenye Paulo na Paul. Semantically zina maana tofauti? Haziwakilishi same entity yaani jina la binadamu?

Lisu alichomoka easily kwenye JPM kwavile ni kifupi na haihold water semantically kusema inamaanisha kitu kimoja.
 
Back
Top Bottom