johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,833
Nimepata taarifa ambazi siyo rasmi sana huko kigamboni kwamba kijana machachari na mwandishi wa vitabu vya ujasusi Kamanda Yericko Nyerere atajitosa kulitwaa jimbo la Pwani kama mwenyekiti wake kupitia Chadema.
Namtafuta Yericko atuthibitishie hili.
Maendeleo hayana vyama!
Namtafuta Yericko atuthibitishie hili.
Maendeleo hayana vyama!