TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Kwenye akaunti yake ya tweeter, Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, aliandika maneno yenye kuwakebedhi aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi(CUF), Prof. Ibrahim Harouna Lipumba na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-WAZALENDO, Mama Anna Mngwira yaliyosomeka "HONGERA PROF. LIPUMBA KWA KUJIUNGA NA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO, pole mama yangu @annamugwira utalazimika kujiuzulu umpishe kitini prof. Lipumba".
Katika kuchangia andiko la Yeriko Nyerere naye akakutana na maneno haya "ATAMPISHA KAMA DR. SLAA ALIVYOMPISHA LOWASSA HAPO CHADEMA"
Naye kiongozi mkuu wa ACT-WAZALENDO akapigilia msumari kw kuandika:
"HATUNA MAJADALA KUHUSU WANACHAMA WAPYA. MKUMBUKE HAO WANAOENEZA TUNA WANACHAMA WAPYA NDIYO HAO HAO WALISEMA HIVYO HIVYO 2015, IKAWAJE?"
Zitto anamaanisha kuwa mwaka 2015 ni CHADEMA hao hao waliosema LOWASSA anahamia ACT-WAZALENDO, Lakini mwisho wa siku akahamia kwo.
Mytake: Maneno ya Prof. Kitila mkumbo yanabaki kuwa hai. "wanasiasa wanapaswa kuwa na akiba ya maneno"
Katika kuchangia andiko la Yeriko Nyerere naye akakutana na maneno haya "ATAMPISHA KAMA DR. SLAA ALIVYOMPISHA LOWASSA HAPO CHADEMA"
Naye kiongozi mkuu wa ACT-WAZALENDO akapigilia msumari kw kuandika:
"HATUNA MAJADALA KUHUSU WANACHAMA WAPYA. MKUMBUKE HAO WANAOENEZA TUNA WANACHAMA WAPYA NDIYO HAO HAO WALISEMA HIVYO HIVYO 2015, IKAWAJE?"
Zitto anamaanisha kuwa mwaka 2015 ni CHADEMA hao hao waliosema LOWASSA anahamia ACT-WAZALENDO, Lakini mwisho wa siku akahamia kwo.
Mytake: Maneno ya Prof. Kitila mkumbo yanabaki kuwa hai. "wanasiasa wanapaswa kuwa na akiba ya maneno"