Yericko: Mahakama Kuu yatengua hukumu katika rufaa ya kesi ya Uchochezi

Leo tarehe 1/4/2022 nimeshinda kesi ya Rufaa Nambari 125 ya Mwaka 2021. Chini ya Judge Amir Mruma. Mahakama imetengua hukumu ya kesi namba 188/2017 iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu Kasian Natembele. Mahakama imeagiza kurejeshwa gharama zote zilizolipwa nk.

Nashukuru sana jopo la mawakili wabobezi wakiongozwa na wakili msomi Peter Kibatala na jopo lake. Haki imetendeka

Katika hoja za Mahama Kuu

1. Statements uttered and published hazi-amount to seditious statements.

2. Ushahidi uliotumika na Mashtaka na kupokelewa na Mahakama ya Kisutu (Hakimu Victoria Mwaikambo) (simu na Ipad na report ya Uchunguzi wa Cyber) zimekuwa expunged for failure to comply na mandatory requirement of being read aloud in Court (hazikuoneshwa Mahakamani kwa mujibu wa sheria).

3. The prosecution failed to prove how such statements amounted to “uchochezi”, and that whatever that was uttered and published was political statement in a secular state that enshrines the bill of rights and other ratified international instruments.

4. The caution statement (Maelezo ya onyo ya Yericko aliyoandikwa Police) did not amount to confession rather inference.

Judge karejea uamuzi wa Rufaa Case ya Mbowe (ile Rufaa baada ya kuhukumiwa Kisutu kulipa fine na hatimaye Mahakama Kuu, Judge Mgeta Irvin kuamuru fine zote zirudishwe na kutengua hukumu yote ya Hakimu Simba) uliosema Nchi inayojinafasi j
Inaamini Demokrasia lazima iwe na uvumilivu kuhusu haki za watu za Kikatiba na zilizomo Mikataba mbalimbali tulisaini

Pia kasema, Prosecution walileta mashahidi polisi tu, na hata hao police hakuna hata mmoja aliyesema “alichocheka” vipi na hizo statements.

Ndio maana mara zote nasema Siroashtakiwe kwa km utumia vbaya madaraka na matumizi ya hovyo ya pesa za umma
 
Leo tarehe 1/4/2022 nimeshinda kesi ya Rufaa Nambari 125 ya Mwaka 2021. Chini ya Judge Amir Mruma. Mahakama imetengua hukumu ya kesi namba 188/2017 iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu Kasian Natembele. Mahakama imeagiza kurejeshwa gharama zote zilizolipwa nk...
Hizi kesi zinazopewa ushindi sasa hivi wala siyo za kushangilia kuwa umeshinda ni sawa na yanga kushangilia sana kuifunga timu ya daraja la pili, sasa hivi zinatolewa kesi zote zisizo na manufaa kwa umma hivyo zote hamna ushindi wanapunguza mashauri mahakamani tu hapo msijisifu mmeshinda ni sawa tu na mbowe na walinzi wake wasingetoboa
 
Kwa wale ambao hamkubahatika kusikiliza hukumu kesi yangu ya Rufaa Nambari 125 ya Mwaka 2021 nikipinga kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya milioni tano.

Chini ya Mh Judge Amir Mruma. Mahakama ilitengua hukumu ya kesi namba 188/2017 iliyotolewa 28/3/2021 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu Kasian Natembele. Mahakama Kuu iliagiza kurejeshwa gharama zote zilizolipwa nk.

Rufaa hii ilikatwa na jopo la mawakili wabobezi wakiongozwa na wakili msomi Peter Kibatala. Haki itendeka

Ukisoma hukumu hii Jaji amewanyoosha kwelikweli Mahakama ya kisutu na DPP kwa ujumla wake....!

Katika hoja za Mahama Kuu

1. Statements uttered and published hazi-amount to seditious statements.

2. Ushahidi uliotumika na Mashtaka na kupokelewa na Mahakama ya Kisutu (Hakimu Victoria Mwaikambo) (simu na Ipad na report ya Uchunguzi wa Cyber) zimekuwa expunged for failure to comply na mandatory requirement of being read aloud in Court (hazikuoneshwa Mahakamani kwa mujibu wa sheria).

3. The prosecution failed to prove how such statements amounted to “uchochezi”, and that whatever that was uttered and published was political statement in a secular state that enshrines the bill of rights and other ratified international instruments.

4. The caution statement (Maelezo ya onyo ya Yericko aliyoandikwa Police) did not amount to confession rather inference.

Judge karejea uamuzi wa Rufaa Case ya Mbowe (ile Rufaa baada ya kuhukumiwa Kisutu kulipa fine na hatimaye Mahakama Kuu, Judge Mgeta Irvin kuamuru fine zote zirudishwe na kutengua hukumu yote ya Hakimu Simba) uliosema Nchi inayojinafasi j
Inaamini Demokrasia lazima iwe na uvumilivu kuhusu haki za watu za Kikatiba na zilizomo Mikataba mbalimbali tulisaini

Pia kasema, Kwamba mtuhumiwa alikiri kosa polisi haiwezi kuwa ni ushahidi kwamba katenda kosa, Kukiri kosa kwa mtuhumiwa kunatakiwa kuendana na ushahidi meingine wa aina zaidi ya mbili unaounga mkono kukiri huko, Akasema mtu anaweza kukiri kosa polisi ili kuepuka violence/brutal na pengine akawa na msongo wa mawazo hata kama atapelekwa kwa Mlinzi wa Amani. Hivyo ni lazima kuwe na aina nyingine ya ushahidi unaounga mkono kukiri huko ndipo itakuwa ni ushahidi tosha kuwa mtuhumiwa amekiri kosa.

Pia akasema Prosecution walileta mashahidi polisi tu, na hata hao police hakuna hata mmoja aliyesema “alichocheka” vipi na hizo statements.

OFA MAALUMU

Pata kitabu cha UJASUSI kwa HARD-COPY kwa 25,000 tu badala ya bei halisi ya 80,000/=.

Kwa Dar free Delivery. Nje ya Dar nauli 8,000/=.

Wahi Lipia kwa
0715865544 au
0755865544
(Yericko Nyerere)

Kwa watumiaji wa ANDROID nenda Play Store pakua YerickoNyerereApp uweze kujisomea vitabu vyote kwa 1,000/= tu. Link kwenye BIO: Yericko Nyerere App - Apps on Google Play
 
Back
Top Bottom