kibarango
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 146
- 308
Ndugu Watanzania hasa wa Dodoma Mjini.
Chama kinachorudi upya kwa kasi NCCR Mageuzi, mgombea wake wa Urais wa JMT Bw Yeremia Kulwa Maganja atachukua fomu leo tarehe 11.08.2020.
Bwa. Maganja akiongozana na mgombea mweza Bwa. Ambari, viongozi waandamizi na watendaji wa makao makuu ya NCCR mageuzi watachukua fomu hiyo majira ya saa 5 asubuhi katika jengo la uchaguzi house.
Kwa wale Watanzania wapenda Maendeleo na Utu mnaweza kufuatilia tukio hili kwenye mitandao ya chama cha NCCR MAGEUZI
ASANTE.
Chama kinachorudi upya kwa kasi NCCR Mageuzi, mgombea wake wa Urais wa JMT Bw Yeremia Kulwa Maganja atachukua fomu leo tarehe 11.08.2020.
Bwa. Maganja akiongozana na mgombea mweza Bwa. Ambari, viongozi waandamizi na watendaji wa makao makuu ya NCCR mageuzi watachukua fomu hiyo majira ya saa 5 asubuhi katika jengo la uchaguzi house.
Kwa wale Watanzania wapenda Maendeleo na Utu mnaweza kufuatilia tukio hili kwenye mitandao ya chama cha NCCR MAGEUZI
ASANTE.