Yemen yaionya Israel isijaribu kuivamia, yajibu vitisho vya Tel Aviv

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,879
Yemen yaionya Israel isijaribu kuivamia, yajibu vitisho vya Tel Aviv

Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu ya Yemen imetahadharisha kuwa, vita vikubwa vitaibuka katika eneo la Asia Magharibi iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utathubutu kuivamia Yemen.

Taarifa iliyotolewa jana Jumapili na wizara hiyo imesema kuwa, badala ya kuzitishia nchi nyingine katika eneo, Israel inapaswa kujishughulisha zaidi na suala la kuyadhibiti maeneo iliyoyaghusubu.

Taarifa hiyo ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu ya Yemen ni jibu kwa matamshi ya vitisho yaliyotolewa juzi Jumamosi na jeshi la utawala haramu wa Israel.

Katika mahojiano na shirika moja la habari siku ya Jumamosi, msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni alisema kuwa, utawala huo unazihesabu Yemen na Iraq kama nchi hatari zaidi katika eneo, na kwamba Tel Aviv inaitazama Yemen kwa jicho la karibu.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imeeleza bayana kuwa, "iwapo Israel itachukua hatua yoyote dhidi ya Yemen, basi maslahi yote ya Wazayuni na waitifaki wao katika Bahari Nyekundu yatakuwa shabaha halali (ya Yemen)."

Makombora mapya ya vikosi vya Yemen

Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Sanaa imesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni utakuwa wa kwanza kupata hasara kubwa iwapo vita kamili vitaripuka katika eneo.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, utawala huo khabithi unatafuta visingizio mbalimbali kuhalalisha hatua zake za uhasama dhidi ya mataifa mengine hususan uvamizi wake dhidi ya Palestina, na pia kuficha kushindwa kwake kuzishawishi nchi mbalimbali kuanzisha uhusiano nao wa kawaida.

4bsk5f198101be1hegs_800C450.jpeg
 
Yemen yaionya Israel isijaribu kuivamia, yajibu vitisho vya Tel Aviv

Dec 28, 2020 00:20 UTC

[https://media]

Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu ya Yemen imetahadharisha kuwa, vita vikubwa vitaibuka katika eneo la Asia Magharibi iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utathubutu kuivamia Yemen.

Taarifa iliyotolewa jana Jumapili na wizara hiyo imesema kuwa, badala ya kuzitishia nchi nyingine katika eneo, Israel inapaswa kujishughulisha zaidi na suala la kuyadhibiti maeneo iliyoyaghusubu.

Taarifa hiyo ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu ya Yemen ni jibu kwa matamshi ya vitisho yaliyotolewa juzi Jumamosi na jeshi la utawala haramu wa Israel.

Katika mahojiano na shirika moja la habari siku ya Jumamosi, msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni alisema kuwa, utawala huo unazihesabu Yemen na Iraq kama nchi hatari zaidi katika eneo, na kwamba Tel Aviv inaitazama Yemen kwa jicho la karibu.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imeeleza bayana kuwa, "iwapo Israel itachukua hatua yoyote dhidi ya Yemen, basi maslahi yote ya Wazayuni na waitifaki wao katika Bahari Nyekundu yatakuwa shabaha halali (ya Yemen)."

[https://media]Makombora mapya ya vikosi vya Yemen

Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Sanaa imesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni utakuwa wa kwanza kupata hasara kubwa iwapo vita kamili vitaripuka katika eneo.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, utawala huo khabithi unatafuta visingizio mbalimbali kuhalalisha hatua zake za uhasama dhidi ya mataifa mengine hususan uvamizi wake dhidi ya Palestina, na pia kuficha kushindwa kwake kuzishawishi nchi mbalimbali kuanzisha uhusiano nao wa kawaida.





View attachment 1661691
Nnavojua Israel Awashindwi kitu *Yemen mbele ya Mossad ni mchumba tu*Israel akuna Taifa litakalowashinda
 
Nnavojua Israel Awashindwi kitu *Yemen mbele ya Mossad ni mchumba tu*Israel akuna Taifa litakalowashinda
Shida hawatapigana na jeshi la Yemen tu watapigana na wahuni wengine ambao hawaoni hasara kwenda hata kujilipua tel aviv.............
 
Shida hawatapigana na jeshi la Yemen tu watapigana na wahuni wengine ambao hawaoni hasara kwenda hata kujilipua tel aviv.............
waende tu! Israel sio USA au UK wataingiaje.?Wakati boda zote zina Mines? na Pia wanawajua Magaid wote wa Middle East *hizbora,hamas,iran,syria.Kila siku wanapewa za uso🤣
 
waende tu! Israel sio USA au UK wataingiaje.?Wakati boda zote zina Mines? na Pia wanawajua Magaid wote wa Middle East
Kama haikuwahi kutokea labda.........

 
hao watakua wanamgambo wa houthi, serikali ya temen haijatoa taarifa yyte kuhusu utawala wa kizayuni
 
waende tu! Israel sio USA au UK wataingiaje.?Wakati boda zote zina Mines? na Pia wanawajua Magaid wote wa Middle East *hizbora,hamas,iran,syria.Kila siku wanapewa za uso🤣
Kwanza Israel na Marekani hapo mashariki ya kati wanapiga sana proxy-wars na mataifa yanayojielewa wakiona hujielewi ndo unatandikwa direct...........ni bora kupigana na jeshi la nchi linaloeleweka kuliko kupigana na hao wanamgambo wasioeleweka utaua 100 ila wao wanasaka sehem 1 tu wanayojua wakipiga utatoa povu sana
 
Yemen yaionya Israel isijaribu kuivamia, yajibu vitisho vya Tel Aviv

Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu ya Yemen imetahadharisha kuwa, vita vikubwa vitaibuka katika eneo la Asia Magharibi iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utathubutu kuivamia Yemen.

Taarifa iliyotolewa jana Jumapili na wizara hiyo imesema kuwa, badala ya kuzitishia nchi nyingine katika eneo, Israel inapaswa kujishughulisha zaidi na suala la kuyadhibiti maeneo iliyoyaghusubu.

Taarifa hiyo ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Uokovu ya Yemen ni jibu kwa matamshi ya vitisho yaliyotolewa juzi Jumamosi na jeshi la utawala haramu wa Israel.

Katika mahojiano na shirika moja la habari siku ya Jumamosi, msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni alisema kuwa, utawala huo unazihesabu Yemen na Iraq kama nchi hatari zaidi katika eneo, na kwamba Tel Aviv inaitazama Yemen kwa jicho la karibu.

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imeeleza bayana kuwa, "iwapo Israel itachukua hatua yoyote dhidi ya Yemen, basi maslahi yote ya Wazayuni na waitifaki wao katika Bahari Nyekundu yatakuwa shabaha halali (ya Yemen)."

Makombora mapya ya vikosi vya Yemen

Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Sanaa imesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni utakuwa wa kwanza kupata hasara kubwa iwapo vita kamili vitaripuka katika eneo.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, utawala huo khabithi unatafuta visingizio mbalimbali kuhalalisha hatua zake za uhasama dhidi ya mataifa mengine hususan uvamizi wake dhidi ya Palestina, na pia kuficha kushindwa kwake kuzishawishi nchi mbalimbali kuanzisha uhusiano nao wa kawaida.

View attachment 1661691
We boya unazungumzia Yemeni ipi? Northern au West au Houthi au Yemen Iran? Israel amesema ataendeleza mashambulizi sio Syria pekee hata ikiwezekana maeneo yote inayoungwa mkono na Iran. wakiwemo wa Hauthi wa Yemen na Waasi wa Iraq
 
Kwahiyo ndo kitendo cha kunitukana na kuniita boya si ndio?
Boya sio Tusi.... Boya ni kitu chepesi na kwenye maji kinaelea... so wewe ni Mwepesi pia uelewa wako ni wa kufuata mkumbo yaani hauangalii uasilia.
 
Sasa Yemeni ilivyochoka hivyo na civil war ni yakuitishia Israel inachekesha Israel kila siku inaipa za uso Iran ambaye ndio baba wa magaidi huko middle east
 
Back
Top Bottom