Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Wanajamvi Habarini za muda,
Kama sikosei, miaka kama miwili iliyopita SUMATRA walisisitiza kuwa magari ya kubeba wanfunzi ni lazima yawe na rangi ya Njano (Yellow Bus) ikiwa ni mojawapo ya vigezo kupewa leseni ya uchukuzi.
Ni jambo jema kwani inasaidia kujua kuwa waliomo ndani ya gari husika ni wanafunzi na hivyo sisi madereva wengine kuchukua tahadhari tusije poteza Taifa la kesho. Pia ni standard ya duniani kote.
Jambo la kushangaza ni kwamba kuna watu hawatekelezi hilo lakini nao SUMATRA wamelifungia macho. Kuna baadhi ya Taasisi zenye kutoa huduma hii magari yao yote hawajatia japo mstari wa njano lakini SUMATRA kimya.
Bila kupepesa macho mfano wa wazi ni hii taasisi ya St Mary Schools, sijui kwa kuwa mmiliki ni kada wa CCM au vipi, sijasikia wala kuona magari yao yakibanwa. Au ndo kusema kuwa kuna walio juu ya sheria?
Nawasilisha.
Kama sikosei, miaka kama miwili iliyopita SUMATRA walisisitiza kuwa magari ya kubeba wanfunzi ni lazima yawe na rangi ya Njano (Yellow Bus) ikiwa ni mojawapo ya vigezo kupewa leseni ya uchukuzi.
Ni jambo jema kwani inasaidia kujua kuwa waliomo ndani ya gari husika ni wanafunzi na hivyo sisi madereva wengine kuchukua tahadhari tusije poteza Taifa la kesho. Pia ni standard ya duniani kote.
Jambo la kushangaza ni kwamba kuna watu hawatekelezi hilo lakini nao SUMATRA wamelifungia macho. Kuna baadhi ya Taasisi zenye kutoa huduma hii magari yao yote hawajatia japo mstari wa njano lakini SUMATRA kimya.
Bila kupepesa macho mfano wa wazi ni hii taasisi ya St Mary Schools, sijui kwa kuwa mmiliki ni kada wa CCM au vipi, sijasikia wala kuona magari yao yakibanwa. Au ndo kusema kuwa kuna walio juu ya sheria?
Nawasilisha.