MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
- Thread starter
- #41
ushauri wangu ni kuwa kama ana gari basi alipaki kwanza
atumie daladala kwa shughuli zake za kila siku....hasa kwenda na kurudi kazini
hapo atakuwa anakutana na watu weengi kila siku
na wale waoga wa mwanamke mwenye mafanikio watajitokeza pia...
apunguze makeke ya pesa na kwenda shule....
Ushauri wako mzuri mkuu, lakini hapo kwenye daladala duuuh...kama hana experience ya kuingiza kupitizia madirishani si itakuwa kasheshe