mi sijapata bado lakini dalili ni nzuri
Ushauri wa Kimungu - Mume mwema/mke mwama hutoka kwa Bwana. Kama amepangiwa na Mungu wake ataolewa, kama hakupangiwa basi sio vibaya.
Ushauri wa kidunia - Aitafakari methali inayosema "Mficha uchi hazai"
First of foremost have you asked her what is she looking for in a man? Do not confuse romantic love with real love. "God is love" and if she is looking for true love you must start with Him. This way she will learn to love herself first and consequently she will attract men who value her and love her for whose she truly are.
If you do not love yourself you will continue attracting men who abuse you because you get what you believe you are worth. These men attracted to her they're not worthy for her, they are married and they are emotionally cheating on their wives, what betrayal.
Work on yourself first and learn to be a wife then you will attract the right man who will want to be your husband.
Kama kweli kalelewa kidini na ana msimamo wa kiimani. Akimuomba Mungu ernestly akaomba msaada wa kuombewa na watu walio vizuri kiimani kisha tena akawa na patience(aache kuwakubalia kila wanaokuja bila intention ya kumuoa) atampata...
Ila dada zetu mnakosea kitu kimoja tu! hamna uwezo wa kukaa bila mahusiano, yani hata kama hayakufaidishi wewe twende kazi, sasa unakuta prince charming akukuthaminisha kwa mbali anaona uko kwenye uhusiano so anasepa zake! kisha wewe unabaki kulalamika kumbe shida ni huna subira na you are not preparing yourself for the prince charming arrival!
Sasa we unataka aje aanze kufukuzana na midume mingine ndo akuoe? Wanaume wengine hatuna hizo swaga, nakukuta na mtu nakuacha zako naenda kwa niliyepangiwa na Mungu...
Mwambie asifanye haraka asije akaanza kulia bure mara wanaume this, wanaume that...she'll definitely get the person she needs hata kama sio leo wala kesho..wanaume wapo tu ila its up too her to know which is the right man kwake...tell her not to forget prayers as well..
Bado hautaki PM eheee...basi nitamtuma Smile kwa niamba yangu mimi...lolAsante mkuu, ushauri muru
Wanaume wapo wengi tu atapata mwambie aache kulala ndani atoke toke aje ata huku jf
Eti sitaki PM naona unajitongozesha hapo kijanja.
Kuhusu rafiki yako mwambie akizubaa hata chance ya kuwa 2nd wife ataikosa.
Vi babe's vile vina umri wa miaka 20 vimesha juwa wazi mapenzi mazuri wanayapata kwa watu walio owa, ndo mana wanaume walio owa wanaringa siku hizi totoz kila kona zinawalilia :cool2:
Did someone send you a private message ya kukutongoza?Unanitia Jazba wewe kaka, sijui kwanini. Let me spell for you, I don't need anyone's PM kutongozwa. Haya si matawi of your likes, so kaa pembeni.
Hahaha mwambie I'm not interested in a 30 year old woman, angekuwa 18-25 ningemfata mpaa pale ofisini kwao na pajua sana :cool2:She is not so desperate otherwise angebeba kama wewe....
ushauri wangu ni kuwa kama ana gari basi alipaki kwanza
atumie daladala kwa shughuli zake za kila siku....hasa kwenda na kurudi kazini
hapo atakuwa anakutana na watu weengi kila siku
na wale waoga wa mwanamke mwenye mafanikio watajitokeza pia...
apunguze makeke ya pesa na kwenda shule....
Mwambie asifanye haraka asije akaanza kulia bure mara wanaume this, wanaume that...she'll definitely get the person she needs hata kama sio leo wala kesho..wanaume wapo tu ila its up too her to know which is the right man kwake...tell her not to forget prayers as well..
sio lazima wote tuolewe.........
Did someone send you a private message ya kukutongoza?
Hahaha mwambie I'm not interested in a 30 year old woman, angekuwa 18-25 ningemfata mpaa pale ofisini kwao na pajua sana :cool2: