Mjanja1, nashukuru kwa kupitia hansard hivyo; inaonekana basi kama mabadiliko yamekuwa kama yalivyo kina Baregu wanaweza kuwa sahihi kuingia kwenye tume lakini mbunge na mwakilishi hawakutakiwa kuingia siyo?
Sisi Wavivu wa kufuatilia mambo kwa undani and yet tunaamini sisi ndio wenye akili. In short sheria ilishabadilishwa na hiyo hoja ilitoka kwa CDM. Kasome amendment za sheria hiyo kwenye tovuti ya bunge... Ni jambo la kawaida kuacha original act. Na kuweka schedule ya amendments....
hiki ndio nachosema, ilipita amendments kuruhusu wanasiasa, siwezi kuisahau ile siku, niliganda kwenye tv karibu siku nzima, kwa hili jamani JK hajavunja sheria, ngoja twendelee kupekua record za bunge, tutamwaga taarifa hapa
Mkuu unaposema ilipita amendment kuhusu "wanasiasa" unamaanisha pia wabunge?
yes, including wabunge chief.
yes, including wabunge chief.
WaTanzania wa2 wa ajabu sana wanasoma na wanafikiria kwa hisia; hakuna jambo lililoongelewa kwa muda mrefu kama hili ni jambo la kusikitisha kwamba haikueleweka kwamba sheria imebadilika... VERY SAD. In fact kusema hivyo ni matusi kwa vyama vilivyopeleka hayo majina kama kweli wanasiasa walikuwa hawastahili. Then ni matusi pia kwa hao wasomi kukubali ki2 ambacho kingekuwa against sheria. Tuache uganga wa kienyeji; kudhani everyday president atakosea... Pls utilize your endowed geni
kaka soma kwa makini pst yangu elewa na pia fanya utafiti. Soma hansard soma sheria arafu ndo uje na hicho unachokisema. Pia waweza leta sheria ambayo wewe unahis ni sahihi. Visit bunges website.
unasemaje kuhusu hili la cv ya kwg?
pole na ukada unaokufumba macho. Jst liberal my friend.
Huyo hata umwambie nini, mradi tu amponde Kikwete, kwake hata jema la Kikwete ni ovu.
Ni mtu mmoja fitna wa hali ya juu, anaweza kuubadili ukweli na akaufanya uongo na uongo akaufanya ukweli. That is how dangerous he/she is.
mtunga sheria ndio..........................., nimesoma maoni yenu, ila je nini kifanyike maana naona tayari watu wameshaapishwa na kisheria wanatakiwa kuanza kazi mara 1.