Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,990
- 103,372
Imekula kwako hiyo.Niliempenda kaondoka.
Waliobaki hawafai..!
Imekula kwako hiyo.Niliempenda kaondoka.
Waliobaki hawafai..!
Ndugu Mtoa Mada Hapo JuuBaada ya kufariki kwa Rais Magufuli sioni ni kwa jinsi gani wakazi wa Kanda hiyo wataendelea kukiunga mkono hiki chama hasa kwa sababu kuu zipatazo tatu kama ifuatavyo.
Mosi: Uungwaji mkono kwa CCM katika Kanda ya Ziwa haukujengwa katika hoja bali ulijengwa katika ushabiki ukanda na ukabila. Ilifika mahali mtu alijisikia fahari kuwa Msukuma ama mtu mwenye asili ya Kanda ya Ziwa. Utakuta zinaalikwa ngoma toka usukumani kwenda kutumbuiza mkoani Dar ili tu kukonga moyo wa Rais. Zaidi ya hayo kisukuma kiligeuka kuwa lugha ya kawaida sana kunako majukwaa ya kisiasa na kiserikali.
Pili: Katika makabila mengi ya kifugaji ambayo ndiyo mengi kwa Tanzania ikiwemo Kanda ya iwa, hayakubaliani sana na jinsia ya kike hasa kunapohusika kuongoza. Wao humchukulia mwanamke kama kiumbe wa dalaja la pili.
Tatu: Miradi mingi iliyoelekezwa huko Kanda ya Ziwa siku za marehemu ina uwezekano mkubwa wa kutelekezwa au kutekelezwa kwa kiwango kidogo sana, hii nayo itaongeza chuki kwa watu wa Kanda ya Ziwa kuona ni kana kwamba CCM imesaliti maono ya shujaa wao.
Endapo uchaguzi ungeitishwa sasa sioni ni jinsi gani CCM ingeepuka kura za hasira toka kanda hii
Welldone umemjibu vizuri mno mtoa hoja ambaye amejipatia u stupidity!Yaani mpaka karne hii ya 21 bado tunaongelea habari ya ukanda!! Kumbe magufuli alichaguliwa kwa sababu anatokea kanda ya ziwa! Na siyo kwa sababu alikidhi vigezo sahihi!
Wewe siyo mwana CCM. Wewe ni mwana CHADEMA.wakuu CCM ikiongozwa vizuri ni chama kizuri ikilinganishwa na vyama vingine. alipokuwa anaipeleka Magufuli CCM ilikuwa ni kama kikundi cha mafia na sio chama ha siasa. Mimi nimerudi CCM baada ya Magufuli kufa
Ni mapema mnoo kusema lolote kwa sasa, ila unaweza kuwa na ukweli kwa hilo.Baada ya kufariki kwa Rais Magufuli sioni ni kwa jinsi gani wakazi wa Kanda hiyo wataendelea kukiunga mkono hiki chama hasa kwa sababu kuu zipatazo tatu kama ifuatavyo.
Mosi: Uungwaji mkono kwa CCM katika Kanda ya Ziwa haukujengwa katika hoja bali ulijengwa katika ushabiki ukanda na ukabila. Ilifika mahali mtu alijisikia fahari kuwa Msukuma ama mtu mwenye asili ya Kanda ya Ziwa. Utakuta zinaalikwa ngoma toka usukumani kwenda kutumbuiza mkoani Dar ili tu kukonga moyo wa Rais. Zaidi ya hayo kisukuma kiligeuka kuwa lugha ya kawaida sana kunako majukwaa ya kisiasa na kiserikali.
Pili: Katika makabila mengi ya kifugaji ambayo ndiyo mengi kwa Tanzania ikiwemo Kanda ya iwa, hayakubaliani sana na jinsia ya kike hasa kunapohusika kuongoza. Wao humchukulia mwanamke kama kiumbe wa dalaja la pili.
Tatu: Miradi mingi iliyoelekezwa huko Kanda ya Ziwa siku za marehemu ina uwezekano mkubwa wa kutelekezwa au kutekelezwa kwa kiwango kidogo sana, hii nayo itaongeza chuki kwa watu wa Kanda ya Ziwa kuona ni kana kwamba CCM imesaliti maono ya shujaa wao.
Endapo uchaguzi ungeitishwa sasa sioni ni jinsi gani CCM ingeepuka kura za hasira toka kanda hii
hebu nipe ushahii wa mimi kuwa chadema?Wewe siyo mwana CCM. Wewe ni mwana CHADEMA.