cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,666
- 5,025
Mkuu umekosea kuniquote au umezamiria?All in all tukiacha chuki Mwendazake ametufanyia Mambo mengi yenye tija Kama Taifa...Tukubali hakua mwanasiasa mzuri kwaio nawashauri vijana wa bavicha muache chuki mzee wetu apumzike kwa amani.Tunajua aliwabana Sana mnahasira nyingi poleni basi ,mrudi kwenye kazi yenu Sasa ya kukosoa,kuibua madudu ,tulijenge Taifa.sio huu ujinga mnaofanya Sasa ivi mmepewa nafasi Sasa itumieni.