Moja kwa moja kwenye mada, nimeuona mtiti wa Maalim, nchi imetikisika ki siasa, ACT inakwenda kuchukua dola Zanzibar.....hiyo ni impact ya Maalim...ameshinda vita.
Pia nimekubali leo kwamba Dr.Slaa alikuwa sahihi kwamba ujio wa Lowassa CDM ulikuwa ni Liability yaani kwa kiswahili Mzigo...
CDM wamejifunza sana na kisiasa kufanya kosa ni kujifunza ili ukomae, huwezi kukomaa bila kufanya makosa ya kiufundi na kuyasahihisha....Dr. alikuwa sahihi kwamba Lowassa alikuwa mzigo .... CDM wameubebaa weee umeshindikana.
Hongera sana Zitto Kabwe, sasa kuna turn kubwa mno kwenye siasa za upinzani hapa Tanzania.
CDM you still have a big chance in Tanzania main land...kinachotakiwa ni kujitoa na kuacha uwoga, hana ubavu wa kuwafumua wote...
Kwa Upande mwingine naona CCM pamoja na hujuma zote bado wakiwa kwenye kona tena kona kali.. wamebananishwa mno na bila usaidizi dola wao ni weupe pee..
Naiona nuru mpya 2020 kwa wapinzani.....
Naiona nyota ya Lissu 2020 iking'aa
Alamsiki....
Pia nimekubali leo kwamba Dr.Slaa alikuwa sahihi kwamba ujio wa Lowassa CDM ulikuwa ni Liability yaani kwa kiswahili Mzigo...
CDM wamejifunza sana na kisiasa kufanya kosa ni kujifunza ili ukomae, huwezi kukomaa bila kufanya makosa ya kiufundi na kuyasahihisha....Dr. alikuwa sahihi kwamba Lowassa alikuwa mzigo .... CDM wameubebaa weee umeshindikana.
Hongera sana Zitto Kabwe, sasa kuna turn kubwa mno kwenye siasa za upinzani hapa Tanzania.
CDM you still have a big chance in Tanzania main land...kinachotakiwa ni kujitoa na kuacha uwoga, hana ubavu wa kuwafumua wote...
Kwa Upande mwingine naona CCM pamoja na hujuma zote bado wakiwa kwenye kona tena kona kali.. wamebananishwa mno na bila usaidizi dola wao ni weupe pee..
Naiona nuru mpya 2020 kwa wapinzani.....
Naiona nyota ya Lissu 2020 iking'aa
Alamsiki....