Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Sina shaka yoyote kwamba ukombozi wa Tanzania umewadia.
Daktari wa filosofia mwenye shahada ya UZAMIVU, Dakta Slaa ataapishwa kuwa Rais. Haya ndiyo ninayoyatarajia kutokea wiki chache tu baada ya kula kiapo.
1. Ansbert Ngurumo atakuwa mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu (sina hakika kama jina la ofisi litabaki hivyo hivyo lakini majukumu ya Msaliti Salva Rweyemamu yatahamia kwa Ngurumo)
2. TIDO Mhando atafukuzwa kazi kama sio kustaafishwa
3. Sina hakika kama kibarua cha afande Shimbo kitaendelea kuwepo au kitaota nyasi
4. Lowassa Kortini
5. Rostam atafilisiwa mali zake zote
6. BWM pamoja na Jakaya wataondolewa kinga ya kutoshtakiwa na bunge hivyo kwenda mahakamani
7. Mikakati ya Mafuriko ya maendeleo kwa watanzania itaanza kutekelezwa mara moja
8.......................
9.............................
10..............................
Daktari wa filosofia mwenye shahada ya UZAMIVU, Dakta Slaa ataapishwa kuwa Rais. Haya ndiyo ninayoyatarajia kutokea wiki chache tu baada ya kula kiapo.
1. Ansbert Ngurumo atakuwa mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu (sina hakika kama jina la ofisi litabaki hivyo hivyo lakini majukumu ya Msaliti Salva Rweyemamu yatahamia kwa Ngurumo)
2. TIDO Mhando atafukuzwa kazi kama sio kustaafishwa
3. Sina hakika kama kibarua cha afande Shimbo kitaendelea kuwepo au kitaota nyasi
4. Lowassa Kortini
5. Rostam atafilisiwa mali zake zote
6. BWM pamoja na Jakaya wataondolewa kinga ya kutoshtakiwa na bunge hivyo kwenda mahakamani
7. Mikakati ya Mafuriko ya maendeleo kwa watanzania itaanza kutekelezwa mara moja
8.......................
9.............................
10..............................