Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL
- Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.
- Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.
- Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
- Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
- Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL