Elections 2010 Yatakayomkuta Kikwete iwapo atataka kuingia Ikulu kwa gharama yoyote

Masauni

JF-Expert Member
Aug 15, 2010
386
58
Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.

  • Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.

  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.

  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
  • Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
  • Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.
Kukuthibitishia hayo ninayosema hii hapa ni baadhi ya vongozi waliotafuta uraisi kwa 'gharama yoyote'
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL
 
Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.

  • Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.

  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.

  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
  • Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
  • Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.
Kukuthibitishia hayo ninayosema hii hapa ni baadhi ya vongozi waliotafuta uraisi kwa 'gharama yoyote'
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL

To prove the curse, Taifa Stars lost in front of him against Morocco
 
Nakubaliana na wewe kwa namna fulani.Lakini ikiwa una matarajio ya mshindi kuwa Dkt Slaa basi hasira za Mungu zitashinda manung'uniko ya watu na nchi haitokalika na hakuna sera atakayotekeleza.
Kati ya hawa wawili ni afadhali Kikwete na ikiwa ni muhimu aingie mtu mwengine Ikulu basi bora awe Lipumba.
 
Nakubaliana na wewe kwa namna fulani.Lakini ikiwa una matarajio ya mshindi kuwa Dkt Slaa basi hasira za Mungu zitashinda manung'uniko ya watu na nchi haitokalika na hakuna sera atakayotekeleza.
Kati ya hawa wawili ni afadhali Kikwete na ikiwa ni muhimu aingie mtu mwengine Ikulu basi bora awe Lipumba.

wewe ni mdini kama avatar yako ilivyo
 
kwani Lipumba ni kiongozi wa Chadema? Sera za chadema zikiongozwa na shupavu ndio issue sio udini wako
 
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU [na manunung'uniko ya watu,] GOD WILL NOT LET YOU PREVAIL - by MASAUNI

great!!!!!!!!!!!!!
 
Eeh, nyie watu udini ni nini? Chagueni tu kiongozi anayeahidi kuleta maendeleo kwa strategy mbadala jamani!!!
 
Jamani naomba nikuunge mkono Masauni. Katika hali ya kushangaza kabisa, nimeshaambiwa na watu kadhaa (wazee na baadhi ya wanamaombi) kwamba Kikwete akirudi madarakani hatamaliza miaka mitano Ikulu. Na nikiwauliza kwanini, huwa hawasemi zaidi ya kunambia "si upo? utaona!!" Hadi sasa sifahamu, hatamaliza miaka mitano kwa sababu gani? Atapinduliwa, atajiuzulu (kwa kupigiwa kura na bunge ya kutokuwa na imani naye) au ni nini, mimi sijui! Lakini kwa kuwa anataka arudi madarakani kwa nguvu zote, jeshi, majini, kuiba kura nk, basi tufanye kazi ya ziada ya kumwombea ili nchi isiishie pabaya.
 
Masauni;1137328]Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.

  • Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.

Sio yeye tu hata Mwalimu Nyerere alikuja kupendwa bada ya kung'atuka........

  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.

Tayari ipo migogoro ya kutosha tu ingawa sio ya aina ambayo mnajaribu kuiwezesha....

  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.


  • Sounds like dua la kuku.....

    [*]Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.

    Nijuavyo katika miaka ya karibuni kumwekuwa na muongezeko mkubwa wa wasomi kurudi nyumbani kuliko nyakati zilizopita

    [*]Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.

    Kama ameweza kuchangamana na ouvu wa Kenya, Sudan, Uganda na kwengineko sidhani kama atatuacha mradi tu mmeshindwa kufanikisha matamanio yenu. Actually ninadhani Mungu has soft spot na Tanzania yetu.........

Kukuthibitishia hayo ninayosema hii hapa ni baadhi ya vongozi waliotafuta uraisi kwa 'gharama yoyote' Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu Kamuzu Banda-Malawi, Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto) Burkinafaso, Somalia.

CCM inaweza kuwa na madhambi mengi tu lakini kujaribu kumfananisha Kikwete ama CCM na hao hapo juu ni kukejeli baraka/huruma za Mungu huyohuyo unayemtumia hapa kuhalalisha propaganda ama hisia zako.

KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL

I thought ninyi ndio mnaopinga, kumlaani na kumtenga Kilaini kwa kutamka neno lenye mantiki hii ambalo lilithibitishwa na asilimia 80 ama 67 za kura 2005.


In general, I have never come across a defeated plea such as this...

Usikate tamaa kirahisi hivyo kaka bado uwezekano wa asilimia hata thelathini upo.....Keep on the fight
 
Usiambiwe,ukasikia, udini ulioko CHADEMA na anaoutaka Slaa ni mbaya kuliko nini!.

(What did you say?)

Lipumba if Not Kikwete. That sounds like Islam if not Islam.

Dr. Slaa Forever.

I'll never vote for Kikwete for his followers are preaching Islam!!!
 
To prove the curse, Taifa Stars lost in front of him against Morocco

Hizo ni ishara anazoonyeshwa kwamba asing'ang'anie kwenda Ikulu hatima yake itakuwa mbaya!! " MTOTO AKILILIA WEMBE .............
 
(What did you say?)

Lipumba if Not Kikwete. That sounds like Islam if not Islam.

Dr. Slaa Forever.

I'll never vote for Kikwete for his followers are preaching Islam!!!

Wanachadema tulizeni mapepe ya huyu jamaa. Ofcourse kama sio wa upande wa pili anajaribu kuchezea akili za watu hapa...........
 
Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.

  • Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.

  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.

  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
  • Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
  • Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.
Kukuthibitishia hayo ninayosema hii hapa ni baadhi ya vongozi waliotafuta uraisi kwa 'gharama yoyote'
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL

Yatakakapomkuta JK na kumshinda labda ataisalimisha nchi kwa RA -- kwani yeye (RA) ndiyo msukumo mkubwa kwa JK kufanya anavyofanya!!!
 
upo sahihi sana,yani jamaa anataka kuipeleka nchi kusiko

sijui ni kwamba hatumbui tumechoka au analazimisha na kuziba masikio

nadhani kuna haja ya kufanya mabadiliko octoba 31 kwa kupiga kura

tafakari na uchukue hatua mwana jf, nchi inaliwa na wanaokula wanaliwa vilevile
i mean ccm wanakula lakini wanaliwa


  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.



  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
  • Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
  • Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.

Kukuthibitishia hayo ninayosema hii hapa ni baadhi ya vongozi waliotafuta uraisi kwa 'gharama yoyote'
Mobutu seseko wailiyokuwa Zaire-mwisho wake na nchi yake ilivyokuwa kila mtu anafahamu
Kamuzu Banda-Malawi
Mugabe-Zimbabwe(mambo yameanza kuwa mazuri baada ya kukubali serikali ya mseto)
Burkinafaso, Somalia.
KIKWETE BELIEVE ME OR NOT SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU. UKITAKA KUZIMISHA SAUTI YA MUNGU, GOD WILL NOT LET YOU PREVEIL[/QUOTE]
 
Nakubaliana na wewe kwa namna fulani.Lakini ikiwa una matarajio ya mshindi kuwa Dkt Slaa basi hasira za Mungu zitashinda manung'uniko ya watu na nchi haitokalika na hakuna sera atakayotekeleza.
Kati ya hawa wawili ni afadhali Kikwete na ikiwa ni muhimu aingie mtu mwengine Ikulu basi bora awe Lipumba.




Kichwa chako kina kutu ya fikra!!
 
Inanisikitisha sana kuona kikwete anataka kuingia madarakani kwa gharama yoyote ile ili hali anajua kabisa wananchi wamemchoka.Kama akifanikiwa kuingia madarakani mambo yafuatayo yatampata.

  • Utawala wake utakuwa mgumu sana maana atawatawala watu wasiompenda.

  • Nchi itakuwa na migogoro ya hapa na pale kwa sababu watu hawakupendi.

  • Manunguniko ya watu, Mungu atayasikia na hivyo mwisho wako utakuwa mbaya sana.
  • Uchumi wa nchi utadidimia kwa sababu wataalamu wengi watakimbia nchi yao kwa sababu ya utawala wasioupenda,wananchi hawatakuwa na morale ya kazi.
  • Blessing and divine protection from God haitakuwepo katika nchi yetu, maana Mungu achangamani na uovu.
JK amekuwa akijigamba kwenye kampeni kuwa anataka tumkumbuke kwa mema atakayokuwa ametufanyia sidhani kumnyang'anya Dr. Slaa ushindi wa wazi wazi ni "mema" machoni pa Mwenyezi Mungu.

CCM legitimacy to govern is now under serious threat despite JK and CCM aspirations!
 
Nakubaliana na wewe kwa namna fulani.Lakini ikiwa una matarajio ya mshindi kuwa Dkt Slaa basi hasira za Mungu zitashinda manung'uniko ya watu na nchi haitokalika na hakuna sera atakayotekeleza.
Kati ya hawa wawili ni afadhali Kikwete na ikiwa ni muhimu aingie mtu mwengine Ikulu basi bora awe Lipumba.

Usiambiwe,ukasikia, udini ulioko CHADEMA na anaoutaka Slaa ni mbaya kuliko nini!.




Ukiweka akili kwenye udini uajivika pazia la tope kwenye fikra kiasi cha kuwa na upofu wa kudumu wa fikra. Hivi mpaka leo hujui kuwa sisiem inaendeshwa na matajiri? wadhani wanaosema elimu na afya bure ni sisiem? usiwe mwepesi wa kukumbuka, bali kuwa bingwa wa kufikiri. Nakusaidia hapa: ipo hivi shule na hospitali katika zama hizi na biashara yenye faida kubwa na si huduma (ingawa wenyewe watakwambia wanatoa huduma kwa jamii!!!), vigogo wengi wa sisiem ni wamiliki au wabia katika taasisi hizo.

ili ziweze kuendelea ni lazima huduma ziwe duni katika sekta za umma. Slaa anataka kuleta huduma bora katika sekta hizo na hilo ni tishio kubwa kwa kafisadi na wamiliki wa biashara hizo. JE UNATAKA WASEME INAWEZEKANA WAPATE HASARA? Hii haihitaji elimu kubwa, ni suala la fikra kidogo tu unapata majibu. ASIYE KUBALI KUWA DKT SLAA NDIYE ATUFAAYE KUWA KIONGOZI WETU WA KAYA huyo ni dhahiri anafikiria kwa kutumia UNYAYO na si KICHWA!!
 
Sio yeye tu hata Mwalimu Nyerere alikuja kupendwa bada ya kung'atuka........



Tayari ipo migogoro ya kutosha tu ingawa sio ya aina ambayo mnajaribu kuiwezesha....



Sounds like dua la kuku.....



Nijuavyo katika miaka ya karibuni kumwekuwa na muongezeko mkubwa wa wasomi kurudi nyumbani kuliko nyakati zilizopita



Kama ameweza kuchangamana na ouvu wa Kenya, Sudan, Uganda na kwengineko sidhani kama atatuacha mradi tu mmeshindwa kufanikisha matamanio yenu. Actually ninadhani Mungu has soft spot na Tanzania yetu.........




CCM inaweza kuwa na madhambi mengi tu lakini kujaribu kumfananisha Kikwete ama CCM na hao hapo juu ni kukejeli baraka/huruma za Mungu huyohuyo unayemtumia hapa kuhalalisha propaganda ama hisia zako.



I thought ninyi ndio mnaopinga, kumlaani na kumtenga Kilaini kwa kutamka neno lenye mantiki hii ambalo lilithibitishwa na asilimia 80 ama 67 za kura 2005.


In general, I have never come across a defeated plea such as this...

Usikate tamaa kirahisi hivyo kaka bado uwezekano wa asilimia hata thelathini upo.....Keep on the fight

Mbona haikiwa hivyo? mpaka sasa more than 40% ya madaktari wa Botswana ni watz. Why?/
 
Back
Top Bottom