Utajisikiaje ukiambiwe wewe 'Sikutaki' na 'Toka'
Kama unam-feel mtu utachangayikiwa sana,lakini kama uhusiano wenyewe ulikuwa wa kusua-sua utaona sawa tu.
Utajisikiaje ukiambiwe wewe 'Sikutaki' na 'Toka'
Utajisikiaje ukiambiwe wewe 'Sikutaki' na 'Toka'
Utajisikiaje ukiambiwe wewe 'Sikutaki' na 'Toka'
Mi naona kumwacha mtu wakati mpo kwenye tendo la malavi davi ndio poa,yani mnakula gemu za kufa mtu then unamwambia while upo kwenye ecstassy,naamini kama unaujasiri wa kufanya hivyo,huko mjengoni zitashamiri kelele za mahaba mchanganyiko na machungu,na kama sio jasiri waweza badili uamuzi!!...kumuacha mtu kwa Txt message kunadhihirisha mtu asiyejiamini, ...a coward!... utamu ni uso kwa uso..."Sikutaki!"
Hujapenda wewe uliza wanaojua kupenda kama kina mwanajamiione!Hata kama nilikuwa bado nampenda na mimi ntampa kubwa vile vile.
Nitamwambia hata mimi sikutaki na nilishakuchoka siku nyingi ndio maana nilishatafuta replacement yako kitambo (hata kama siyo kweli). Na kwa taarifa tu leo nilikuja kukutaarifu kwamba mimi na wewe ndio basi in all level, na kukushauri u move on same as I did. Honestly, umenirahisishia saana cause nilikuwa nakuonea huruma kuwa na wewe, siyo kwamba nilikuwa nakupenda.
The rule is simple: Akikupa kubwa unampa kubwa zaidi.
Hujapenda wewe uliza wanaojua kupenda kama kina mwanajamiione!
Unamwacha eti kwa kuwa una kitu kipya chenye shingo ya upanga na miondoko kama ya Twiga! hukumbuki kabisa mlikotoka...lazima utiwe ngeu ati!