Yataka moyo...

Utajisikiaje ukiambiwe wewe 'Sikutaki' na 'Toka'

Hata kama nilikuwa bado nampenda na mimi ntampa kubwa vile vile.

Nitamwambia hata mimi sikutaki na nilishakuchoka siku nyingi ndio maana nilishatafuta replacement yako kitambo (hata kama siyo kweli). Na kwa taarifa tu leo nilikuja kukutaarifu kwamba mimi na wewe ndio basi in all level, na kukushauri u move on same as I did. Honestly, umenirahisishia saana cause nilikuwa nakuonea huruma kuwa na wewe, siyo kwamba nilikuwa nakupenda.

The rule is simple: Akikupa kubwa unampa kubwa zaidi.
 
...kumuacha mtu kwa Txt message kunadhihirisha mtu asiyejiamini, ...a coward!... utamu ni uso kwa uso..."Sikutaki!"
Mi naona kumwacha mtu wakati mpo kwenye tendo la malavi davi ndio poa,yani mnakula gemu za kufa mtu then unamwambia while upo kwenye ecstassy,naamini kama unaujasiri wa kufanya hivyo,huko mjengoni zitashamiri kelele za mahaba mchanganyiko na machungu,na kama sio jasiri waweza badili uamuzi!!
 
Hata kama nilikuwa bado nampenda na mimi ntampa kubwa vile vile.

Nitamwambia hata mimi sikutaki na nilishakuchoka siku nyingi ndio maana nilishatafuta replacement yako kitambo (hata kama siyo kweli). Na kwa taarifa tu leo nilikuja kukutaarifu kwamba mimi na wewe ndio basi in all level, na kukushauri u move on same as I did. Honestly, umenirahisishia saana cause nilikuwa nakuonea huruma kuwa na wewe, siyo kwamba nilikuwa nakupenda.

The rule is simple: Akikupa kubwa unampa kubwa zaidi.
Hujapenda wewe uliza wanaojua kupenda kama kina mwanajamiione!
 
hii imenikuna kweli mi mwenyewe natafuta njia ya kumuacha mtu hapa sijui nitumie njia gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom