fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
kwa kweli masistaduu siwaelewi.Jana kaniambia ana hamu sana ya kuku,nami kwa heshima,japo nabana matumizi nilimpeka kwa hoteli.Sijui ni uoga,ama kushiba ama ugeti kali??,sistaduu alionja paja tu na kuku mzima kamuacha.hivi ningebeba sehemu ilobakii ama vipi??