jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Kwa kweli kwa hilo la mguu wa Mbowe linafikirisha mno!
Ukweli ni kwamba wana siasa ni binadamu kama wengine na huamua pia kusitiriana kwa mambo kadha wa kadha ambayo kwao ni ya aibu.
Mfano: Kuumia kwa mguu wa ndugu Mbowe ni wazi vyombo vya dola vimeaswa na kuelekezwa viachane nalo kwa sababu ni bayana ni jambo la aibu kwa Mbowe.
Pata picha laiti ingekuwa ni kweli bwana mkubwa ingekuwa ni kweli alishambuliwa kama tulivyotaka kuaminishwa!
Stara ni kwa wote.
Ukweli ni kwamba wana siasa ni binadamu kama wengine na huamua pia kusitiriana kwa mambo kadha wa kadha ambayo kwao ni ya aibu.
Mfano: Kuumia kwa mguu wa ndugu Mbowe ni wazi vyombo vya dola vimeaswa na kuelekezwa viachane nalo kwa sababu ni bayana ni jambo la aibu kwa Mbowe.
Pata picha laiti ingekuwa ni kweli bwana mkubwa ingekuwa ni kweli alishambuliwa kama tulivyotaka kuaminishwa!
Stara ni kwa wote.