GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Kwangu mimi:
1. Performance, gari iweze kwenda mwendo mrefu bila kuchoka wala kuchemsha.
2. Iwe manual
3. Diesel Engine is an added advantage.
4. Iwe SUV
5. Iwe na uwezo wa kubeba mizigo mizito.
6. Iwe na kuanzia na CC 4000.
kudadadeki, heshima yako mkuu!