Tanzania kama Taifa mojawapo hapa Duniani lazima iwe na Dira na Maono yanayoonyesha jinsi na namna itakavyojiendeleza kitaifa na kimataifa.
Kuna vipindi tumeshuhudia tukiletewa mipango ya muda mfupi,kati na mrefu ya Taifa Letu,tatizo ni maono,dira na mipango gani hiyo tuliyoweka?
Hayo maono yanapangwa na nani na kwa kuzingatia nini?
Tukiambiwa kuwa kuna mipango ya Taifa halafu hadi Leo hatuchimbi kwa ufanisi chuma kiasi tunaagiza mataruma ya sgr kutoka China?
Tuna Coal ambayo karibu inapitwa na muda Wa kutumika Duniani kabla hatujaichimba!
Kuna maono Ama dira ya Taifa wakati kilimo chetu ni cha kusubiri mvua badala ya umwagiliaji?
Kama Tanzania haitaandika Katiba yake upya na kuanza upya,hakika hakutakuwa na maana ya kuwa huru.
Kupitia Katiba Mpya Maono/Dira ya Taifa shirikishi vitawekwa upya.
Kuna vipindi tumeshuhudia tukiletewa mipango ya muda mfupi,kati na mrefu ya Taifa Letu,tatizo ni maono,dira na mipango gani hiyo tuliyoweka?
Hayo maono yanapangwa na nani na kwa kuzingatia nini?
Tukiambiwa kuwa kuna mipango ya Taifa halafu hadi Leo hatuchimbi kwa ufanisi chuma kiasi tunaagiza mataruma ya sgr kutoka China?
Tuna Coal ambayo karibu inapitwa na muda Wa kutumika Duniani kabla hatujaichimba!
Kuna maono Ama dira ya Taifa wakati kilimo chetu ni cha kusubiri mvua badala ya umwagiliaji?
Kama Tanzania haitaandika Katiba yake upya na kuanza upya,hakika hakutakuwa na maana ya kuwa huru.
Kupitia Katiba Mpya Maono/Dira ya Taifa shirikishi vitawekwa upya.