The Son
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 459
- 58
Miongoni mwa ndugu, jamaa na
marafiki wanaoishi mbali mbali yupo
ambaye analazimika kuwajulia
wenzake hali au yeyote anaweza
kumjulia hali mwingine?
Nahitaji kujuzwa maana wapo
wanaoona kuwa fulani ndiye
anayepaswa kuwajulia hali. Kwa upande
wangu naona si vibaya kwa yeyote
ambaye atapata fursa kuwajulia hali
wenzake. Sioni kama kuna haja ya
kumtupia mtu lawama kuwa hakujulii
hali wakati wewe pia unakaa kimya.
Mara nyingi nikiulizwa swali la
kwanini unakuwa kimya sana nalijibu
kwa swali sababu anayeniuliza ana
uwezo na majukumu kama mimi sasa
iweje atake mimi tu nimjulie hali wakati yeye pia huwa kimya?
Kwa nini naye asinijulie hali siku
nyingine akiona niko kimya badala
yake anabaki kulaumu tu? Mtu
hujanipigia simu nikaacha kupokea
wala hujanitumia sms nikaacha
kuijibu. Pia hujanibipu nikaacha
kukupigia... lawama za nini?
QUOTE]Lawama si mzigo[QUOTE
marafiki wanaoishi mbali mbali yupo
ambaye analazimika kuwajulia
wenzake hali au yeyote anaweza
kumjulia hali mwingine?
Nahitaji kujuzwa maana wapo
wanaoona kuwa fulani ndiye
anayepaswa kuwajulia hali. Kwa upande
wangu naona si vibaya kwa yeyote
ambaye atapata fursa kuwajulia hali
wenzake. Sioni kama kuna haja ya
kumtupia mtu lawama kuwa hakujulii
hali wakati wewe pia unakaa kimya.
Mara nyingi nikiulizwa swali la
kwanini unakuwa kimya sana nalijibu
kwa swali sababu anayeniuliza ana
uwezo na majukumu kama mimi sasa
iweje atake mimi tu nimjulie hali wakati yeye pia huwa kimya?
Kwa nini naye asinijulie hali siku
nyingine akiona niko kimya badala
yake anabaki kulaumu tu? Mtu
hujanipigia simu nikaacha kupokea
wala hujanitumia sms nikaacha
kuijibu. Pia hujanibipu nikaacha
kukupigia... lawama za nini?
QUOTE]Lawama si mzigo[QUOTE